Skip to main content

Posts

Tundu Lissu amezungumza na Wahariri wa vyombo vya habari

Recent posts

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI DISEMBA 16, 2017

Magazetini leo Jumamosi December 16, 2017

WABUNGE HAWA WAMEPOTEZA SIFA ZA KUWA WABUNGE

HAYA HAPA MAJINA YA WAGOMBEA WA UBUNGE WA Chama cha Mapinduzi (CCM)

 Chama cha Mapinduzi (CCM) imepitisha majina matatu ya wagombea ubunge watakaopeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mdogo utakaofanyika Januari 13, mwakani. Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho Humphrey Polepole leo Desemba 15, imewataja

ZAIDI ya mawakili 80 wamehitimu mafunzo na kuapishwa

Baadhi ya mawakili wapya walioapishwa leo wakiwa sehemu yao iliyoandaliwa. Mmoja wa mawakili akitoa nasaha kwa mawakili hao. ZAIDI ya mawakili 80 wamehitimu mafunzo na kuapishwa kuanza kazi ya kuhudumu kama watetezi wa kisheria katika mahakama mbalimbali hapa nchini huku

Tazama jinsi Askari Magereza alivyomuua askari mwenzie kwa risasi

TWAWEZA: TUMEWANUFAISHA WANAFUNZI ZAIDI YA 48,000

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Twaweza, Aidan Eyakuze akizungumza katika kongamano hilo. Baadhi ya washriki katika kongamano hilo. TAASISI ya utafiti ya Twaweza imesema kuwa, kuwalipa walimu bahshishi kumewanufaisha wanafunzi zaidi ya 48,000 katika kujifunza stadi za Kiswahili na Hisabati. Baada ya miaka miwili ya majaribio, Twaweza, kwa kushirikiana na