Skip to main content

RAISI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZJI ARUSHA ACHAGULIWA ANGALIA HAPA PICHA RASMI ZA TUKIO ZIMA LA UCHAGUZI HUO.pia viongozi watakaongoza serekali hiyo wapo hapa


BAADHI YA WANACHUO WA AJTC WAKISHANGALIA WAKATI WA KUTANGAZWA MATOKEO

BOX LILILOBEBA KURA ZA WANACHUO 

JOPO LA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI LIKIWA LINAELEKEA KATIKA UKUMBI WA CHUO KUTANGAZA MATOKEO 


HAWA HAPA NDIO MCs WA THE CLASSIC AMABAO WALIHUSIKA KATIKA KUHOST SHOW YOTE


 Rais georg Sirange Akitoa shukrani kwa wapiga kura wake mara baada ya kutangazwa mshindi.

WAGOMBEA WA NAFASI YA URAISI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA




BAADHI YA WAKUFUNZI WAKIWA KATIKA PICHA YAPAMOJA NA WAGOMBEA WA NAFASI YA URAISI.

EXLUSSIVE HUYU HAPA NDIE GEORGE SIRANGE RAIS WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA.


Mkufunzi ambae ni mlezi wa Wanachuo akitoa shukrani kwa wanachuo waliojitokeza kupiga kura za kumchagua Raisi.
HII LEO MAPEMA ASUBUHI MAMIA YA WANACHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA WAMEJITOKEZA KUPIGA KURA ZA  KUMCHAGUA RAISI WA CHUO HICHO AMBAE ATAINGOZA SEREKALI YA WANACHUO KWA MWAKA 2013/2014,AMBAPO GEORGE SIRANGE ALIIBUKA MSHINDI NA KUTANGAZWA MSHINDI AMBAE YEYE NA SEREKALI YAKE WATAAPISHWA WIKI IJAYO.EXCLUSSIVE INTERVIEW NA VIONGOZI HAO NITAKULETEA JUMATATU endelea kufuatilia INFO IS HOT PICHA ZOTE NA JAMES ULOMY
HAWA  HAPA NDIO NDIO BAADHI YA VIONGOZI WA SEREKALI YA WANAFUNZI WA AJTC KUTOKA KUSHOTI NI IZACK BONIFACE(KATIBU)WA PILI GEORGE SIRANGE (RAIS)WATATU JULIANA NGELEJA (MAKAMU WA RAISI)na WANNE NI Bw GODWILL (AFISA MAHUSIANO)

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...