Skip to main content





MADRID, HISPANIA
KUNA madai mengi ya msingi yamejitokeza kuhusu uhusiano baina ya staa wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo na kocha wa zamani wa timu hiyo, Jose Mourinho, ulivyokufa. Wote ni raia wa Ureno.
Hata hivyo, vielelezo vya msingi vinapatikana zaidi wakati huu ambapo wawili hao wameachana njia huku Mourinho akirudi Stamford Bridge na Ronaldo akibakia Real Madrid. Hivi ndivyo............
uhusiano wao ulivyokufa.
Ronaldo akwepa kumkumbatia
Ronaldo alifunga mabao yote matatu wakati Madrid ikiizamisha Levante 3-1 Februari 2012. Kabla ya mechi hiyo, Ronaldo alimwahidi kocha wa viungo, Rui Faria, kwamba kama akifunga mabao matatu basi atashangilia naye.
Kwa hiyo alipofunga bao maridadi la tatu kwa shuti la mbali, alianza kukimbia kasi kuelekea katika benchi la timu yake kwa ajili ya kushangilia na Faria.
Hata hivyo, Mourinho alishtukia jambo hilo na kumpita kasi Faria aliyekuwa amejiandaa kushangilia na Ronaldo na kisha kumkumbatia Mreno mwenzake huyo ambaye hata hivyo hakufurahishwa na kitendo hicho cha Mourinho cha kulazimisha kumkumbatia.
Kwa haraka haraka tukio hilo lilileta picha nzuri hata kwa vyombo vya habari, lakini ukweli ni kwamba uhusiano wao ulikuwa uko duni huku ikisemekana kwamba Ronaldo alikuwa ana tabia ya kuhoji tabia ya Mourinho kupendelea kucheza soka la kujihami.
Ronaldo ahoji mbinu za Mourinho
Ugomvi baina yao ulikuja kuwa kitu cha kawaida hata katika siku za mwanzo za Mourinho pale Santiago Bernabeu. Siku chache baada ya kushinda Kombe la Mfalme, shukrani kwa bao la kichwa la Ronaldo Uwanja wa Mestalla dhidi ya Barcelona, Madrid ilichapwa 2-0 katika pambano la nusu fainali uwanjani Santiago Bernabeu na wababe hao wa Catalunya.
Akiwa amekerwa na staili ya soka la kujihami la Mourinho, Ronaldo alisikika akiwapigia kelele wachezaji wenzake uwanjani kuwataka waachane na mbinu za Mourinho na kucheza soka la kushambulia.
Baadaye katika chumba cha kubadilishia nguo, Mourinho alimfokea Ronaldo vikali mbele ya wachezaji wenzake kabla ya Ronaldo kutoboa siri kwa waandishi wa habari kwamba alikuwa hapendi mbinu za Mourinho. Matokeo yake? Aliwekwa benchi katika pambano la Madrid lililofuata ambalo walichapwa 3-2 na Zaragoza.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...