Skip to main content

BOLT AMFAGILIA FELLAINI, ASEMA ATANG`ARA MAN UNITED, AWATAKA MASHABIKI KUMPA SHAVU LA NGUVU!

BINGWA wa kukata upepo katika riadha, Usain Bolt amewataka mashabiki wa Manchester United kuwa nyuma ya  Marouane Fellaini na kumuunga mkono kwa hali ya juu mara tu atakavaa jezi nyekundu ya Old Trafford.
Nyota huyo anayeshikilia rekodi ya dunia  katika mbio za mita 100 na 200 ,  na shabiki mkubwa wa United alisema hayo huku akishikilia jezi ya timu ya taifa ya Ubelgiji yenye jina la Fellaini mgongoni.
Hii imekuja muda mfupi tu tangu Bolt amtake kocha wa Man United, David Moyes kusajili kabla ya dirisha la usajili la majira ya kiangazi kufungwa.
Huge United fan: Usain Bolt showed off a Belgium shirt with Marouane Fellaini on the backShabiki wa kufa wa United: Usain Bolt akionesha jezi ya timu ya taifa ya Ubelgiji yenye jina la Marouane Fellaini mgongoni
“David Moyes, tunahitaji kiungo mjuzi, ambaye anaweza kupiga pasi na kutengeneza nafasi, mwenye uwezo mkubwa kumiliki mpira na mtu thabiti, tunataka muda huu”. Alisema Bolt akimuambia kocha wa Man United.
Lakini baaada ya Fellaini kusajiliwa, labda Bolt ametulizwa moyo kwa ushabiki wake wa soka.
Pia aliongea kitu ambacho hakikutarajiwa na wengi kuwa atastaafu riadha baada ya mashindano ya Olympiki ya mwaka 2016 huko Rio.
‘Nadhani nimejijenga jina na nataka kwenda kushiriki mashindano hayo na kufanya vizuri, nadhani itakuwa wakati muafaka wa kusataafu nikiwa juu na kutawala kwa muda mrefu”. Alisema Bolt.
Ready to go: Bolt admitted that he may not have any motivation after the Rio OlympicsTayari kustaafu: Bolt amesema hataendelea tena na riadha baada Olympic za Rio

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...