Skip to main content

CHEGGE, SHETTA WAKIONA AIRPORT

WAKATI mwanasoka Joseph Kaniki ‘Golota’, bondia Karim Matumla na msanii Agnes Gerald wakifikishwa mahakamani juzi (Jumatano) katika nchi mbili tofauti barani Afrika, wana Bongo Fleva maarufu nchini, Chegge Chigunda na Hassan Bilal ‘Shetta’, Jumanne iliyopita walikiona cha moto baada ya kuhisiwa kubeba ‘poda’ na hivyo kufanyiwa upekuzi mkali katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar.
Habari zilizopatikana juzikati zinasema, Chegge na Shetta walisafiri salama kwa boti kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar wakiwa safarini kuelekea Mombasa walikoalikwa kwa ajili ya shoo.
“Wale askari wa uwanjani baada ya kuwaona wasanii hao waliwatilia shaka kwa nini wapandie ndege Zanzibar badala ya Dar es Salaam, wakahisi wamebeba mzigo, basi walifanyiwa upekuzi mkali, mizigo yao ilitolewa kila kitu, kwa kweli walihenya ile mbaya.
Shetta.
“Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba waliopekuliwa namna hiyo ni wao tu, watu wengine walisachiwa kidogo na kuachiwa wapite. Pamoja na kwamba ni vita nzuri ya kupambana na mihadarati lakini wakati mwingine ni ‘too much’,” kilisema chanzo chetu kilichoshuhudia tukio hilo.
Chegge.
Hata hivyo, baadhi ya mashuhuda walisema Chegge na Shetta walisafiri kwa boti hadi Zanzibar na baadaye kupanda ndege kuelekea Mombasa kwa vile ipo ndege inayokwenda na kurudi baina ya miji hiyo miwili tu ya pembezoni mwa Bahari ya Hindi.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...