Skip to main content

Hizi ndizo sababu zilizosababisha gazeti la MWANANCHI NA MTANZANIA kusimamishwa na Serikali kwa muda.



Serikali kupitia kwa Mkurugenzi wa IDARA YA HABARI-MAELEZO (TIS) Assah Mwambene imesimamisha uchapishaji wa magazeti mawili makubwa ya Tanzania gazeti la Mwananchi na Mtanzania kwa kile kilichoitwa uhatarishaji wa amani na mshikamano wa taifa kwa kuandika makala za uchochezi zinazosababisha wananchi kukosa imani na vyombo vya ulinzi na usalama vya taifa.

Mwananchi linalomilikiwa na kampuni ya Mwananchi Communication Limited (MCL), limezuiliwa kwa muda wa wiki mbili baada ya kuchapisha habari iliyokuwa na kichwa cha habari "MISHAHARA MIPYA SERIKALINI 2013" kwenye toleo namba 4774 ambayo ulikuwa ni wakara wa siri wa serikali na haikuwa sahihi kutolewa na vyombo vya habari.

Kwa upande wa gazeti la MTANZANIA, toleo la 7262 la tarehe 20 Machi mwaka huu walichapisha habari iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho "URAISI WA DAMU" huku tarehe 12 Juni mwaka huu toleo namba 7344 liliandika habari yenye kichwa cha habari "MAPINDUZI HAYAEPUKIKI" habari ambazo zote zimekuwa hatari kwa usalama na amani ya taifa.

Gazeti hili limesimamishwa kwa muda wa siku tisini sawa na miezi mitatu kutokana na kuonywa mara kadhaa kuhusiana na mwenendo wake wa uandishi wa habari ambazo zinakuwa na hali ya uchochezi ikiwemo kuishutumu serikali kwa kuwa 'goigoi' kushughulikia matukio yenye sura ya kigaidi.

Hivyo basi kutokana na makosa yote tajwa, serikali kwa kutumia tangazo la serikali namba 332 la tarehe 27 Septemba 2013 limezuia machapisho hayo kwa muda uliotajwa hapo juu.

Aidha serikali imewataka wamiliki wa vyombo vya habari hasa wahariri kuzingazia taaluma ya habari na maslahi ya taifa na uzalendo katika ngazi ya hali ya juu kwa kutumia uhuru wa vyombo vya habari vizuri na si vinginevyo na sharia itachukua mkondo wake kwa kila chombo cha habari kitakacho kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na usalama ikiwemo kukifungia.

Adhabu zote mbili zimeanza kufanya kazi kuanzia tarehe 27 Septemba 2013 ambayo ndio ilikuwa tarehe ya kutoka kwa matangazo hayo ya serikali namba 332 na 333.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...