Skip to main content

Obama kuendeleza shinikizo kwa Syria




Rais wa Marekani Barack Obama, amesema kuwa atafanya juhudi zaidi za kidiplomasia kuangamiza zana za kemikali za Syria , lakini pia ameambia jeshi lake kuwa tayari kuchukua hatua ikiwa juhudi zake zitafeli.
Kwenye hotuba yake , Obama alisema kuwa amelitaka baraza la Congress kuakhirisha kura yake kuhusu kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Syria.
Marekani imetishia kufanya mashambulizi ya angani baada ya shambulizi la kemikali kuwaua mamia ya watu mjini Damascus mwezi jana.
Urusi imependekeza kuwa silaha hizi ziwekwe chini ya udhibiti wa jamii ya kimataifa.
Ingawa maafisa wa Syria wamekubali kutii agizo la Marekani, nchi hiyo pamoja na washirika wake wana wasiwasi ikiwa Syria itafanya kama inavyosema.

Athari za vita nchini Syria , watoto hawajasazwa
Mpango wa Urusi ulisababisha siku moja ya mashauriano mazito ya kidiplomasia katika Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne.
Akiongea katika Ikulu ya White House, Obama alisema kuwa serikali yake, ilikataa wito wa kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Syria kwa sababu haamini ikiwa kutumia nguvu itasuluhisha mgogoro huo.
Lakini alisema kuwa alibadili msimamo wake baada ya zana za kemikali kutumiwa kwenye mashambulizi katika viunga vya mji wa Damascus tarehe 21 mwezi Agosti.
"usiku huo, dunia nzima iliona kwa kina athari mbaya za zana za kemikali na kwa nini watu wengi duniani wanahisi kuwa zana hizo hazipaswi kabisa kutumiwa, ni uhalifu dhidi ya binadamu na ukiukwaji wa sheria za vita,'' alisema Obama.
Serikali ya Syria imekanusha kuwa ilitumia silaha za kemikali kushambulia watu na badala yake imelaumu waasi ikisema walizitumia katika juhudi zao za kutaka kumng'oa mamlakani Rais Bashar al-Assad

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...