Skip to main content

TAASISI YA HASSAN MAJAAR TRUST YACHANGISHA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 200 IKIWA NI MWENDELEZO WA KAMPENI YAO YA “DAWATI KWA KILA MTOTO”

HERM0501
Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Maajar, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar, akiongea wakati wa hafla ya chakula cha jioni ilioandaliwa na taasisi hiyo kwa ajili ya kuchangisha fedha kufanikisha kampeni ya “Dawati kwa kila mtoto” inayoendeshwa na taasisi hiyo. Kulia ni Mwenyekiti wa Bank M, Bw.Nimrod Mkono(MB) akisikisiliza kwa makini kwenye hafla hiyo ambapo zaidi ya Shilingi Milioni 200 zilichangishwa kwenye hafla hiyo.
HERM0505
Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Maajar, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar akiwatambulisha baadhi ya viongozi wa Taasisi hiyo wakati wa chakula cha hisani kwa ajili ya kuchangisha fedha za kununulia Madawati kwa shule za msingi nchini.
HERM0488
Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Maajar, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar akiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba, Dr. Salim Ahmed Salim pamoja na Jaji Mkuu Mstaafu Agustino Ramadhani.
HERM0531
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa akifurahi jambo na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Wairoba pamoja na Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Majaar Trust Balozi Mwanaidi Majaar wakati wa hafla ya chakula cha hisani kwa ajili ya kuchangisha fedha za kampeni ya “Dawati kwa kila mtoto” inayoendeshwa na taasisi hiyo.
HERM0533
Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba na Dr. Salim Ahmed Salim wakielekea kwenye meza ya chakula.
HERM0529
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Hawa Ghasia (kulia) akibadilishana mawazo na Jaji Mkuu Mstaafu Agustino Ramadhani.
HERM0539
Mwenyekiti wa Taasisi ya HMT Balozi Mwanaidi Maajar akiwa na baadhi ya viongozi wa Serikali kupakua chakula cha jioni kilichoandaliwa na taasisi hiyo.
HERM0516
Baadhi ya wadau waliohudhuria hafla ya hiyo wakibadilishana mawazo.
HERM0546
HERM0560
HERM0561
HERM0566
HERM0569
Mkongwe wa Muziki nchini John Kitime akitoa burudani wakati wa hafla hiyo

Comments

Popular posts from this blog

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...