Skip to main content

Tazama picha ya Wazazi wa Dogo Janja walivyotua Bongo na Kuongea na Ostaz Juma Baada ya Kusikia Fununu za Mtoto wao Kutaka Kurudi Tip Top

Wazazi wa Dogo Janja aka Janjaro, wamekuja Dar es salaam wiki hii kuangalia maendeleo ya mtoto wao baada ya kusikia tetesi kuwa anarudi Tip Tipo Connection na kuhisi Watanashati wameshindwa kumsimania.
Ostaz Juma kushoto,Wazazi wa Dogo Janja katikati na Dogo Janja wamwisho.
Ostaz Juma kushoto,wazazi wa Dogo Janja katikati na Dogo Janja wa mwisho

Wakiongea na Bongo5 jana wakiwa katika Hotel ya Atrium, Sinza jijini Dar es salaam, Baba wa Dogo Janja, Mzee Chende alisema waliamua kusafiri kutoka Arusha mpaka Dar ili kukutana na mmiliki wa Watanashati Ostaz Juma, ili wajue kimetokea nini kwa mtoto wao.
Wazazi wa msanii Dogo Janja. (2)
Wazazi wa Dogo Janja

“Tuna week moja, mimi na mke wangu tumetoka Arusha kukutana Ostaz Juma ili tujue nini kilitokea baada ya kusikia Dogo Janja anataka kururi Tip Top, sasa tumekuna na Ostaz Juma tumeongea tumekuta mtoto wetu hana tatizo lolote na yupo salama kwa Watanashati na tumejua yalikuwa mambo ya kuzusha tu,” alisema baba yake na Janjaro.
Kwa upande wake mmiliki wa kampuni ya Watanashati Entertainment, Ostaz Juma na Musoma alisema ni kweli wazazi wa msanii huyo waliingiwa na wasiwasi baada ya kusikia rapper huyp anataka kurudi Tip Tip kwa kujua Watanashati imemtelekeza.
Ostaz Juma na Dogo Janja.
Ostaz Juma na Dogo Janja

“Ingawa mawasiliano ya simu yalikuwepo lakini walitaka kuja tukae pamoja wote ili tuongee. Sisi kama Watanashati tulikaa nakuamua tuwaite wazazi wa Dogo Janja tukae nao ili tuzungumze na kweli tumefanikiwa kuwaleta tumeongea nao na hakuna tatizo na tumepiga nao picha za ukumbusho,” alisema Ostaz.
Dogo Janja alisema amefurahishwa na kitendo cha wazazi wake kuja ili kujua maendeleo yake huku akiwaahidi wazazi wake kuwatembeza sehemu mbalimbali za jiji la Dar es salaam ili ‘waielewe mitaa’ (Kwa sauti ya Fid Q).
Ostaz Juma kushoto,Wazazi wa Dogo Janja katikati na Dogo Janja wamwisho.

Ostaz Juma kushoto,Wazazi wa Dogo Janja katikati na Dogo Janja wa mwisho

IMG_0205

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...