Skip to main content

CRDB BENKI YAADHIMISHI WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA JIJINI ARUSHA

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa (kushoto) akiwaongoza wafanyakazi wa benki hiyo kuwakaribisha wateja wa benki hiyo.
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, wakiwakaribisha wateja wa benki hiyo kwa kuwafungulia Champagne.
 Wafanyakazi
wa Benki ya CRDB tawi la Arusha wakiwakarisha wateja wa benki hiyo ikiwa ni
sehemu ya maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika jijini Arusha
Wafanyakazi
wa Benki ya CRDB tawi la Arusha wakiwakarisha wateja wa benki hiyo ikiwa ni
sehemu ya maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika jijini Arusha
 
 Wafanyakazi
wa Benki ya CRDB tawi la Arusha wakiwakarisha wateja wa benki hiyo ikiwa ni
sehemu ya maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika jijini Arusha
 Mkurugenzi
wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa (kushoto) akiwaongoza wafanyakazi
wenzake kuwapa Champagne wateja wa benki hiyo ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya
Huduma kwa Wateja iliyofanyika jijini Arusha.
 Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa akiwahudumia wateja wa benki hiyo wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja. 
 Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa akimuhudumia mteja.
 Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa akiongea na waandishi wa habari.
 Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa akiwa na Meneja Uhusiano wa benki hiyo, Godwin Semunyu.
Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB, Godwin Semunyu (kushoto) akiwa na wadau wa benki hiyo. 
Mkurugenzi
wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa akiwapa vinywaji baadhi ya wateja waliofika
katika tawi la benki hiyo ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja
iliyofanyika jijini Arusha
Keki maalum iliyoandaliwa na Benki ya CRDB tawi la Arusha kwa ajili ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja.
 Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa
akikata keki wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika
jijini Arusha.
 Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa
akimlisha keki mmoja wa wateja waliofika katika tawi la benki hiyo jijini
Arusha, jana wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja.
 Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Tawi la Arusha, Chiku Issa
akimlisha keki Meneja wa Biashara za Benki, Jenipher Tondi wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika jijini Arusha.
Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya CRDB, wakiwa katika picha ya pamoja.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...