Skip to main content

Ronaldinho chanzo bifu la Barcelona

Ronaldinho






BARCELONA, HISPANIA
WAKATI Rais wa Barcelona, Sandro Rosell na kocha wa zamani wa timu hiyo, Mdachi Johan Cruyff, wakiwa hawatazamani usoni, suala la usajili wa Mbrazili Ronaldinho, linadaiwa kuwa chanzo kikuu cha uhasama wa wawili hao.
Kwa mujibu wa Rosell, Cruyff alichukia kutokana na kusajiliwa kwa Ronaldinho tofauti na matakwa yake.
Cruyff aliyewahi kuwa kocha wa Barcelona kati ya mwaka 1988 na 1996, amekuwa akirushiana maneno makali na Rosell na hivi karibuni alidai kwamba hatahudhuria mechi yoyote ya Camp Nou kwa kipindi ambacho Rosell ataendelea kuwa madarakani. Lakini, Rosell anaamini hasira za Cruyff zimetokana na yeye kupuuza ushauri wa kocha huyo katika usajili aliotaka ufanyike na wao kumsajili Ronaldinho kutoka PSG mwaka 2003.
“Ilitokea kipindi kile ambacho nilikuwa Makamu Rais,” alisema Rosell.
“Alitoa ushauri wa kusajili wachezaji watatu; (Pablo) Aimar, (David) Albelda na (Roberto) Ayala, lakini sisi tuliwasajili Ronaldinho, Deco, Edmilson na (Rafael) Marquez. Hapo ndipo utata ulipoanza nadhani,” alisema.
“Kama hataki kuja Camp Nou, basi tutakuwa na nafasi moja ya wazi. Kama nitatakiwa kuitetea Barcelona, basi nitafanya hivyo.”
Msimu huu Barcelona ilimsajili Neymar kwa Euro 57 milioni, huku Cruyff akibeza kwamba staa huyo wa Brazil hataweza kucheza pamoja na Muargentina, Lionel Messi.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...