Skip to main content

SHULE YA WAMA – NAKAYAMA WAPEWA VIFAA VYA MICHEZO!!

1Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Montage Tanzania,  Teddy  Mapunda  wa tatu kutoka (kulia) akimkabidhi  mpira Mwanafunzi wa  kidato cha kwanza  wa Shule ya  Sekondari ya  wasichana  ya  WAMA  - Nakayama iliyopo Rufiji, mkoani Pwani  Rehema  Mshama(kulia)  ikiwa ni mchango wake katika kuwasaidia watoto yatima  na  wanaoishi katika mazingira  hatarishi  ili  waweze kujiendeleza katika sekta ya michezo. Makabidhiano hayo yalifanyika leo  kwenye ofisi ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), jijini Dares Salaam.2Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Montage Tanzania, Teddy  Mapunda  wa nne kutoka (kushoto ) akimkabidhi  mpira  Mwalimu wa   Michezo wa  Shule ya Sekondari ya WAMA-  Nakayama iliyopo Rufiji, Mbwana  R. Mbwana  wa tatu kutoka (kulia) ikiwa ni mchango wake katika  kuwasaidia watoto  yatima  na  wanaoishi katika mazingira  hatarishi  ili waweze kujiendeleza  katika sekta ya michezo. Makabidhiano hayo yalifanyika leo kwenye ofisi ya Taasisi ya Wanawake na  Maendeleo (WAMA), jijini Dares Salaam.4Katibu Mtendaji  wa  Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA)  Daudi  Nasib (kushoto) akitoa shukrani   kuhusu vifaa   vya michezo  baada ya Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Montage Tanzania, Teddy  Mapunda  (kulia)  kuvikakabidhi  leo  jijini Dares Salaam  kwa  Mwalimu  Michezo  wa  Shule ya Sekondari ya  WAMA-  Nakayama iliyopo Rufiji, mkoani Pwani  Mbwana  R. Mbwana.7Mwalimu wa   Michezo wa  Shule ya Sekondari ya Wama   Nakayama iliyopo Rufiji, Mbwana  R. Mbwana   wa tatu kutoka (kulia)  na wanafunzi wa shule hiyo  wakifurahia  vifaa vya michezo  baada    wa  Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Montage Tanzania, Teddy  Mapunda   kutoa  mchango  huo  ili  kuwasaidia watoto yatima  na  wanaoishi katika mazingira  hatarishi katika sekta ya michezo. Makabidhiano hayo yalifanyika leo kwenye ofisi ya Taasisi ya  Wanawake na Maendeleo (WAMA), jijini Dares Salaam.
Picha zote na Magreth Kinabo -maelezo

Comments

Popular posts from this blog

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...