Skip to main content

HIVI NDIVYO BIBI YAKE NA MMILIKI WA MOSHONO MEDIA BLOG ALIVYOZIKWA; tazama picha pamoja na matukio yote

mjukuu wa bibi akiwa ameshikilia msalaba na kuongoza msafara kuingia kanisani

Ndugu jamaa na marafiki wakiwa katika ibada ya mazishi iliyofanyika ktk kanisa la kimandolu  

Baadhi ya wajukuu wakitoa heshima za mwisho kwa bibi yao


Msafara kuelekea moshono kwaajili ya kuumzika bibi


Msafara huo uliongozwa na pikipiki alimaarufu bodaboda

mchungaji aksoma neno kwaajili ya maziko

umati wa watu uliojitokeza kwaajili ya kumpumzisha bibi yetu

mwili wa bibi ukiwa kwenye jeneza tayari kuhifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele.


Jina kamili la marehemu bibi alikuwa anaitwa ANNA MING'ATU LAIZER, na alizaliwa mwaka 1898 na amefariki tarehe 23/11/2013.
Na amefariki akiwa na umri wa miaka 115(mia moja kumi na tano) alikuwa na watoto 10, wajukuu 40 na vituku 126.
Bwana ametwaa na bwana ametoa jina lake lizidi kubarikiwa amen.

Comments

Popular posts from this blog

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...