Skip to main content

KAMANDA WA POLISI AHUSISHWA NA TUKIO LA MAUAJI


Anayedaiwa kuwa mpenzi wa marehemu, Christina.
Mauaji hayo yalitokea juzi nje ya nyumba ya wanafamilia waliokumbwa na dhahama hiyo iliyopo Ilala jijini Dar es Salaam.
Katika mauaji hayo, Gabriel alidaiwa kumuua kwa risasi shemejiye aliyejulikana kwa jina la Alfa Nando, kumjeruhi mchumba wake, Christina Nando, mama mkwe wake (mama wa Christina), dereva wa familia aitwaye Francis kisha kujimaliza mwenyewe.
Akizungumza na Amani kwa njia ya simu rafiki mmoja wa marehemu Gabriel (jina lipo) alisema marehemu ambaye alikuwa mfanyabiashara wa magari jijini Mwanza aliaga kwenda Dar kumchunguza mchumba wake (Christina) kwa sababu alidokezwa kuwa shemeji yao huyo anamsaliti kwa kutembea na RPC ambaye jina lake halikupatikana.

Alidai kuwa, baada ya kufika Dar marehemu alimpigia simu na kumwambia kuwa, habari za Christina kutembea na RPC huyo ni za kweli na kwamba amepata habari anataka kusafiri hivyo hatakubali aende hiyo safari bila kumfanyia kitu kibaya.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...