Skip to main content

MZIZIMA ROTARY CLUB YAMPA TUZO MKURUGENZI WA SHIRIKA LA NYUMBA (NHC)KWA UTENDAJI ULIOTUKUKA

1aRais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala akikabidhi cheti maalum cha kutambua utendakazi na mchango wa Nehemia Mchechu Kyando Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba (NHC) wakati Club hiyo ilipomkabidhi cheti na tuzo maalum katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam. 2aRais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala akikabidhi tuzo  maalum ya kutambua utendakazi na mchango wa Nehemia Mchechu Kyando Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba (NHC) wakati Club hiyo ilipomkabidhi cheti na tuzo maalum katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam. 3aKushoto ni Paul Mashauri na na wajumbe wengine wa Rotary Club wakimpigia makofi Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando hayupo pichani mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo 4a Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando akitoa shukurani zake kwa Rais wa Rotary Club na wajumbe wake mara baada ya kukabidhiwa tuzio hiyo. kulia ni Rais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala. 5aMkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando akizungumza jambo na Paul Mashauri Mwenyekiti wa  East Africa Speakers Bureau (EASB) na katikati ni Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC , Muungano Kasibi Saguya 6aMkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala mara baada ya kumalizika kwa hafla hiyo jana 7aMkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu kushoto  akiwa katika picha ya pamoja na Paul Mashauri Mwenyekiti wa  East Africa Speakers Bureau (EASB) 8aBaadhi ya wajumbe wa Rotary Club Mzizima wakiwa katika hafla hiyo 9aBaadhi ya wajumbe wa Rotary Club Mzizima wakiwa katika hafla hiyo 10aBaadhi ya wajumbe wa Rotary Club Mzizima wakiwa katika hafla hiyo 11a Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC , Muungano Kasibi Saguya kushoto akiwa na
Yahya Charahani ambaye ni Meneja Mawasiliano wa NHC wakiwa katika hafla hiyo jana
12aMzee Method Kashonda mmoja wa viongozi wa Mzizima Rotary Club akikaa kwenye kiti chake mara baada ya kusoma wasifu wa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba Bw. Nehemia Kyando Mchechu jana kabla ya kumkabidhi tuzo yake aliyokabidhiwa na taasisi hiyo kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam jana.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...