Skip to main content

Kampeni ya Nani Mtani Jembe yatikisa Ukonga Banana Dar es salaam, mashabiki wala raha kubwa mno!!

1Mtoa huduma katika Kampeni ya Nani Mtani Jembe (kushoto), akizungumza na Mteja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakati wa tamasha lililofanyika Ukonga Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga.
2Wacheza shoo wa kundi la muziki wa Dansi la Extra Bongo wakitoa burudani katika Tamasha la Kampeni ya Nani Mtani Jembe lililofanyika Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki wa Simba na Yanga na kuendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager Bonge la Kiburudisho kwa Watanzania.
3Mpiga gataa wa bendi  ya muziki wa dansi wa kundi la Extra Bongo (kushoto), akicheza na Shabiki wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager inayoendesha Kampeni  ya  Nani Mtani Jembe ilifanyika Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga 4Kiongozi wa Bendi ya Extra Bongo Ally Choki (kushoto) akicheza  muziki  pamoja na wacheza shoo wake wakati wa Tamasha la Nani Mtani Jembe lilifanyika Banana Dar es Saam leo tamasha hilo ni kwaajili ya Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga na kudhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
5Mtoa huduma katika Kampeni ya Nani Mtani Jembe  Mwanahamis  Seleman (kulia), akiwahudumia wateja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakati wa tamasha lililofanyika Ukonga Banana Dar es Salaam leo tamasha hilo ni kwaajili ya Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga.
6Mashabiki wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakifurahiya Kampeni ya Nani Mtani Jembe wakati wa Tamasha lililofanyika Ukonga Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki wa Simba na Yanga na kuzaminiwa nabia hiyo.
7Wacheza shoo wa kundi la muziki wa Dansi la Extra Bongo Wanaume wakiomyesha vitu vyao  katika Tamasha la Kampeni ya Nani Mtani Jembe lililofanyika Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki wa Simba na Yanga na kuendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager Bonge la Kiburudisho kwa Watanzania.
8Wacheza shoo wa Bendi  ya Extra Bongo wakipuliza Vuvuzela katika Tmasha la Nani Mtani Jembe lililofanyika Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki wa Simba na Yanga na kuzaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
9Mashabiki wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakikabidhiana zawadi za jezi wakati wa Tamasha la Nani Mtani Jembe lilifanyika Banana Dar es Salaam leo na kuzaminiwa na bia hiyo kwaajili ya Mashabiki wa Simba naYanga
10 Mtoa huduma katika Kampeni ya Nani Mtani Jembe (kusoto) akimkabidhi zawadi ya jezi shabiki wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakati wa Kampeni aya Nani Mtani Jembe iliyofanyika Ukonga Banana Dar es Salaam leo kampeni hiyo ni kwaajili ya Mashabiki wa Simba na Yanga.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...