Skip to main content

Madaktari Tanzania walaani miili kutupwa

Chama cha Madaktari nchini Tanzania kimelaani
kitendo cha kutupwa kwa viungo vya binadamu nje
ya jiji la Dar es Salaam kinyume cha sheria.
Rais wa chama hicho, Dk. Primus Saidia ametaka
hatua madhubuti zichukuliwe dhidi ya wahusika
ikiwemo kupigwa marufuku kwa mtu au taasisi
iliyohusika kuendesha shughuli zozote za utafiti
kwa kutumia viungo vya binadamu.
Dk Primus ameweka bayana kwamba, licha ya fani
hiyo ya udaktari kuruhusiwa kutumia viungo vya
binadamu katika shughuli mbali mbali za utafiti kwa
mujibu wa sheria za kitaifa na kimataifa lakini
ameelezea kwamba kitendo hicho kimekiuka haki
za binadamu.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za
Chama hicho cha madaktari hapa jijini Dar es
Salaam, kiongozi huyo ametaka hatua madhubuti
zikuchuliwe dhidi ya wahusika ikiwemo kufungiwa.
Sakata la kutupwa kwa viungo hivyo kinyume cha
sheria katika mji wa Mbweni nje ya jiji la Dar es
Salaam siku mbili zilizopita, lilizua taharuki
miongoni mwa watu wa kada mbalimbali.
Tayari watu wanane kutoka Chuo cha udaktari cha
IMTU kilichopo hapa jijini Dar es Salaam
wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusishwa
kwa kutupwa kwa viungo hivyo ambavyo viliwekwa
katika mifuko ya plastiki ipatayo 85.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...