Skip to main content

UKAWA MSIZIBE MASIKIO; SAUTI ZINAWALILIA

NIANZE safu hii kwa kumshukuru Mungu kwa kutulinda mmoja mmoja na hata taifa letu. Hakika yeye ni mwema. Nikumbushe tu kwamba viongozi wengi wa kisiasa, baadhi ya wananchi, taasisi za kiraia na madhehebu ya dini wanapaza sauti  kuwasihi Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) warejee bungeni.
Mwenyekiti wa Ukawa, Freeman Mbowe.
Ni wito wa kila mpenda amani kuwataka wajumbe wa kundi hilo kuitikia ombi hilo na kuwaomba waache kuziba masikio kwani sauti ya wengi ni Baraka kwa Mungu.
Makundi hayo kwa nyakati tofauti,…

Comments