Skip to main content

Mshukiwa wa Al shabaab akamatwa Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wanasema
wamemnasa mshukiwa mkuu wa Al-Shabaab mjini
Nairobi. Mshukiwa huyo alikuwa nchini Kenya
kutafuta matibabu.
Duru zingine zinasema kuwa alikuwa mwanahabari
zamani na anashukuwa kujihuhusisha na mauaji ya
waandishi wa habari wa Somali huko Mogadishu.
Ni nadra kunasa washukiwa kama hawa
wanaoingia nchi jirani ya Kenya kupitia mipaka yake
ambayo bado haina ulinzi wa kutosha.
Mshukiwa huyo anadhaniwa kuwa Hassan Hanafi
na amekuwa akizuru Kenya mara kwa mara.
Maafisa wa polisi wameambia BBC kuwa alitiwa
nguvuni siku chache zilizopita na anahojiwa na
maafisa wa kitengo maalum cha polisi
kinachoshughulikia maswala ya ugaidi.
Maafisa wa Usalama wa Somali wamesema kuwa
ushirikiano kati ya majasusi wa Kenya na Somali
ndiko kulipelekea au kuwezesha kukamatwa kwa
mshukiwa huyo ambaye anadai ameshikwa
kimakosa na kufananishwa na mtu mwingine.
Hanafi anashukiwa kutekeleza au kufadhili mauaji
ya wanahabari mjini Mogadishu. Zaidi ya
wanahabari 20 wameuwawa katika kipindi cha
miaka mitatu iliyopita nchini Somalia.
Inaaminika kuwa Hanafi alijiunga na Al-Shabaab
mwaka 2006, baada ya Ethiopia kuondoa mamlakani
muungano wa mahakama za kiislamu.
Baadaye Hanafi alifanya kazi katika kituo cha Redio
cha Andalus, ambacho hutumiwa kama ni kipaza
sauti cha al-Shabaab nchini Somalia, na hatimaye
kujiunga na mrengo wa Al-Shabaab unaotumia
silaha hatari.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...