Skip to main content

SHILOLE, MCHUMBA’KE WAZICHAPA!

Lile penzi lililopata ‘promo’ ya kutosha ndani ya muda mfupi kati ya mwanamuziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ na Nuh Mziwanda limeingia shubiri baada ya juzikati wawili hao kuzichapa. Kisa cha wawili hao kuzibuana kinadaiwa ni baada ya Nuh kukuta sms tata ya mwanaume kwenye simu ya Shilole ambapo inadaiwa baada ya jamaa huyo kumtaka mchumba wake huyo ampigie aliyetuma meseji hiyo kukawa na kusuasua.
Mwanamuziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’.
Chanzo chetu cha habari kilichoomba jina lake lisichorwe gazetini kilitiririka: “Shilole na mchumba’ke walikuwa chumbani, mara ikaingia sms kwenye simu ya Shilole.
“Nuh alipoiona alimlazimisha Shilole ampigie jamaa aliyetuma sms na aweke ‘loud speaker’, Shilole alipoipiga ile namba, akajichanganya kidogo licha ya kuwa, jamaa alikuwa anamjua na wala hakuwa mpenzi wake ila ni washikaji tu.
Mwanamuziki na mpenzi wa Shilole, Nuh Mziwanda akipozi.
“Kuona vile si Nuh akaanza kumpiga na hapo ndipo timbwili lilipotokea. Wote waliumia ila Nuh ndiye aliyeumia zaidi, ilikuwa ni vurugu kweli, baada ya ugomvi Nuh akaondoka na mfuko kama wa rambo hivi akiwa na vitu vyake kana kwamba katimuliwa,” kilidai chanzo hicho.Baada ya kuzipata nyeti hizo, Ijumaa lilimtafuta Nuh na alipopatikana alikiri kutokea kwa ugomvi lakini hakuwa tayari kuuzungumzia kwa kirefu.
Shilole alipopatika alisema: “Ni kweli tukio lilitokea. Ni hivi, aliyenitumia ile meseji ni mdau wangu, aliniambia kuwa yuko Dar tutafutane na wala si kwa mambo ya mapenzi lakini nikashangaa Nuh analazimisha nimpigie.
“Ile napiga naongea naye, si akanipiga kofi, hapo vurugu ikatokea. Kimsingi sikutarajia, ni kweli nampenda lakini mimi nadhani bora kila mmoja achukue hamsini zake.“Nilimheshimu sana, wamekuwa wakinitongoza wanaume wengi lakini nikawa nawakatalia kwa kuwa nampenda lakini leo anakuja kunipiga kwa mtu ambaye wala sina mpango naye. Amenikasirisha sana, acha aende zake, unajua mapenzi hayaendi hivyo,” alisema Shilole.
Hata hivyo, taarifa zilizopatikana baadaye zilieleza kuwa, baada ya ugomvi huo Nuh alichukua kila kilichokuwa chake na kuondoka kwenye nyumba aliyokuwa akiishi na Shilole kwani alikuwa ni kama kahifadhiwa.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...