Shirika la afya duniani WHO limetangaza kuenea
kwa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa afrika kama
janga la kimataifa linalohitaji kushughulikiwa kwa
dharura.
WHO imesema kuwa mataifa yalio na maambukizi
ya virusi vya ugonjwa huo hayana uwezo wa
kudhibiti kiwango cha virusi hivyo na hivyo basi
yanahitaji usaidizi wa kimataifa.
Tangazo hilo linajiri baada ya mazungumzo ya
dharura mjini Geneva kuhusu uwezekano wa
kutuma wataalam wa ugonjwa wa maambukizi ili
kuudhibiti ugonjwa huo ambao ni hatari zaidi.
Ugonjwa huo umewaua zaidi ya watu mia tisa
magharibi mwa afrika .
Mataifa yalioathiriwa vibaya ni Guinea,Liberia na
Sierra Leone,lakini pia visa vimeripotiwa nchini
Nigeria.
Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:
Comments
Post a Comment