Skip to main content

Mshindi wa Miss world 2014 huyu hapa!!

Miss South Africa Rolene Strauss ameibuka
mrembo wa dunia wa mashindano ya Miss World
2014, akiwashinda zaidi ya warembo 120 katika
shindano lililofanyika jijini London, Uingereza.
Mshindi huyo wa shindano la Miss World 2014
alivikwa taji la urembo na mshindi wa Miss World
2013, Megan Young kutoka Ufilipino na
kushangiliwa na mshindi wa pili na wa tatu, ambao
ni Miss Hungary Edina Kulcsár na Miss Marekani
Elizabeth Safrit. Kwa mujibu wa ukurasa rasmi wa
mtandao wa Internet, mshindi huyo mwenye umri
wa miaka 22 ni mwanafunzi wa mwaka wa nne wa
shahada ya udaktari na anafurahia kucheza
michezo ya golf, netboli na kuendesha baiskeli na
kujisomea vitabu vya burudani na elimu.
Washindi wa tano wa mwanzo katika mashindano
ya urembo ya mwaka huu walikuwa kutoka
Uingereza, Marekani, Hungary, Australia na Afrika
Kusini.
Shindano la Miss World 2014 pia lilikuwa na
mshindano tanzu na mataji mengi, ambayo
yalifanyika kuelekea siku ya fainali kuu.
Kwa mara ya kwanza, washindani watano
walitangazwa kuwa Warembo wa Miss World 2014
wenye Lengo: Washindi hao ni Miss India, Miss
Kenya, Miss Brazil, Miss Indonesia and Miss
Guyana.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...