Skip to main content

HIZI NDIZO SABABU ZA MSANII MB Dog, KUKAA KIMYAA MUDA WOTEE

.
.
Mkali wa ‘Latifa’, Si uliniambia’ Mbwana Mohamed aka MB Dog time hii amefunguka na kuelezea sababu zilizopelekea kuwa kimya kwa muda mrefu kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva
 alisema…’Kwanza nilikuwa nimetoa kwenye kampuni ambayo ilikuwa ikinisaidia halafu then nikawa mwenyewe so baada ya kuona mambo yamekuwa mazito nikatoa kidogo nikaenda kukaa sana Ujerumani kama miaka miwili nikaja nikarudi Uingereza hapo katikati zile safari baada ya kuona mambo yamekuwa mazito ndio sababu ya kukuwa kimya.
.
.
Sijawahi kupiga ngoma ikawa imeenda tofauti kila niliyowahi kuupiga ulikuwa unaenda na damu zao halafu ilikuwa zinafanana na wao kwa hiyo ngoma zangu zote zilikuwa na manufaa na zilikuwa na faida kwasbabu ndio zimenifanya mpaka leo nipo nakutana na watu tofauti wananiamia na heshima kubwa kupitia hizo ngoma
.
.
Mimi niko chini ya Qs Mhonda J Entertainment kampuni kubwa sana ambayo kwasasa ndio inasimamia kazi zangu kiufupi niwahabarishe mashabiki wangu kuna kazi ambazo zinashaanza kufanyika kama kuna video nimefanya Afrika Kusini chini ya Qs Mhonda J Entrtainment, muziki wa sasa hivi umetanuka kuna social Network ukiangalia zamani kulikuwa hakuna social network sisi zamani ma Dj walikuwa wanakuja ma studio kuangalia ngoma zetu..’alisema.
Unaweza uka bonyeza play kumsikiliza MB Dog akifunguka kuhusu ukimya wake

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...