Skip to main content

Madam Rita na BSS 2015, Joh makini na matapeli wa mitandao, Madee kaamua kuacha muziki?

local
Jana Madam Rita alipiga stori na kipindi cha XXL na kusema mashindani ya BSS yatakua yakifanyika kikanda na kila Mkoa watachukua watu watano kama awali lakini pia inategemea kama hakuna anayewafaa kwenye Mkoa husika wanaondoka na kwenda Mkoa mwingine.
Pia amezungumzia kituko ambacho hatakisahau katika maisha yake kwenye mashindano ya BSS ni kijana mmoja ambaye alienda jukwaani akiwa ameweka vinyonga tumboni kisha akawatoa na kuwaweka mdomoni…amesema hawezi kusahau.
madam
Madam Rita
Kingine ni kutoka kwa Joh Makini ambaye baada ya mashabiki wake kudai kutapeliwa hela walizotaka kununua Tshirt za weusi, mwenyewe amesema amesikitishwa na kitendo hicho lakini anashukuru ni mmoja ambaye aliweza kutuma pesa za oda ya Tshirt na kuahidi kumrudishia huku akiwataka watu kuwa makini na akaunti feki ambazo hutumiwa na matepeli kuwaibia.
makin
Joh Makini
Madee naye amesikika akisema anafikiria kupumzika kwenye game muda si mrefu, amekaa kwenye muziki zaidi ya miaka 15 na anaamini hakuna kisichojulikana kupitia yeye kwenye muziki… atatangaza rasmi ni lini na tarehe ngapi ataacha muziki.
made
Madee
Anasema ameona ni vyema kuwapa nafasi wasanii wengine wanaochipukia kwenye muziki kuweza kujulikana na kupata nafasi.
Wasikilize hapa wote mtu wangu…

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...