Skip to main content

OKOA MAONO YAKO

kapernaum church

Jumapili, 5 Julai 2015


OKOA MAONO YAKO



- Maono ni taarifa inayokuja kwa mtu katika hali ya ukamilifu.



- Maono ya wakristo waamini walio wengi yamezama yaani yamepoteza mwelekeo, kwa sababu wakristo sana sana jamii ya waaminio hawaweki bidii ya kuishi maisha ya ukweli. 

- kila mwanadamu mwenye mwili Mungu amempa kipawa yaani karama, katika hili kinacho leta shida ni wakristo kutokuweka bidii ya kuchochea karama zao, mara nyingi jambo hili husababisha kina cha maarifa ya rohoni kujifunga na hapo huwa ndio mwanzo wa Maono ya mkristo kuzimika.

- ( Kinacho linda Maono ya mkristo ni bidii aliyonayo katika kujifunza Neno la Mungu ) 

- Mkristo anaye mcha Mungu katika hali ya maono mara nyingi safari yake huwa salama kwa sababu maono ni mwongozo sahihi katika maisha ya mtu anaye mwamini Mungu.

- ( Kanisa linahitaji maono ili Liwe salama )

- Ili niweze kuyafikia maono yangu inatakiwa nipingane na mambo yafuatayo katika maisha yangu:-
  i).Nisiruhusu moyo Wangu kubeba hila
  Ii).Wivu 
  iii).Chuki 
  iv).Tamaa ya mwili
  v).Tamaa ya mali
- Haya mambo 5 ndiyo yanayo gharimu kwa sehemu kubwa kudidimiza maono ya wakristo walio wengi.
Waefeso 4: 17- 32

- (Moyo wa mkristo ukifa ganzi, hapo ndipo anguko la mkristo linapoanzia,na ganzi katika moyo wa mkristo Huja katika mazingira haya,huja katika mazingira ya roho ya kiburi)

- Roho ya kiburi ikisha uvalisha moyo wa mwamini ganzi mwamini huyo atakumbwa na mambo yafuatayo :-
 1.Hawezi kukubali ushauri wa mtu yeyote, maana yake kila kitu anajua.
 2.Hata angeshirikishwa zuri namna gani kwake halina maana, hapo ndipo (hila) ilipo.

- Kanuni ya Mungu jinsi ilivyo huvitumia vitu vilivyo dharaulika kuonya ndio maana wazimu wa balaamu ulitulizwa kwa kinywa cha punda.

- ( Maono ya mkristo yanalindwa na hekima itokayo ndani ya Neno la Mungu )

- Maono ndio njia sahihi ya kuliongoza kanisa katika ukweli, ndio maana shetani hupambana sana na makanisa yenye maono ili ayabomoe.

- Inatakiwa niyalinde maono niliyo nayo kwa gharama yoyote kwa sababu kama nikizembea maono niliyo nayo yakazimwa huwa hayajirejei tena.

- Suala la kuokoa maono yangu ni jukumu langu mimi binafsi kwa sababu mimi ndiye ninaye tambua uthamani wa maono niliyo nayo.

- Ili niweze kuyatunza maono niliyo nayo inatakiwa nidumu katika sheria ya Bwana, jambo hili hata Mithali imelisema. Mithali 3:1-2

MAMBO YA KUFANYA ILI NIDUMU KATIKA MAONO
-Jambo la kwanza litakalo nisaidia mimi kama mwamini ili niweze kuyalinda maono yangu ni kuruhusu moyo wangu kukubaliana kuendana na maisha yaliyo andikwa ndani ya Biblia.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...