Skip to main content

Madiwani wa CUF Kufikishwa Mahakamani Kwa Kufanya Vurugu

Madiwani kumi wa Chama Cha wananchi (CUF) waliodaiwa kufanya vurugu katika uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya jiji la Tanga wanatarajiwa kufikishwa mahakamani.

Hayo yalisemwa jana na Kamanda wa Polisi wa Tanga, Zubery Mwombeji alipokuwa akizungumza na.................
waandishi wa habari kuhusu tukio la vurugu zilizotokana na madiwani wa CUF kupinga matokeo ya uchauguzi huo.

Kamanda Mwombeji alisema kuwa madiwani hao walikamatwa na kupelekwa katika kituo cha Polisi cha Chumbageni na baadaye waliachiwa kwa dhamana majira ya saa sita usiku.

Alisema kuwa madiwani hao walikamatwa kwa tuhuma za kufanya vurugu na kuchoma pazia na kujaribu kuvunja mlango wa ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri hiyo.

Madiwani wa CUF wanadaiwa kufanya vurugu katika ukumbi wa halmashauri ya jiji hilo uliotumika kupigia kura baada ya Mkurugenzi wa jiji hilo kumtangaza diwani wa CCM, Mohamed Mustafa kuwa mshindi kwa kupata kura 19 dhidi ya mgombea wa CUF aliyepata kura 18.

CUF walipinga matokeo hayo na kudai kuwa walihujumiwa na kuporwa ushindi hususan kwa kuwa wana idadi ya madiwani 20 dhidi ya madiwani 17 wa CCM.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...