Skip to main content

Mgombea wa CCM apinga Matokeo ya Godbless Lema......Alitupia Lawama Jeshi la Polisi Kwa Kuwatisha Wapiga Kura kwa Silaha za Kivita


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM, Philemon Mollel amepinga matokeo ya uchaguzi huo yaliyompa ushindi wa kishindo, Godbless Lema wa Chadema.

Akiongea na waandishi wa habari baada ya msimamizi wa uchaguzi huo kutangaza matokeo, Mollel alidai kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa ambao unafanya matokeo hayo kutokuwa halali.

Alisema kuwa wakati zoezi la kupiga kura likiendelea kuna gari lililokamatwa likiwa na kura bandia za kumpa ushindi Lema ingawa alidai gari hilo liliachiwa baadae.

“Kulikuwa na Noah ya diwani wa Chadema ambayo ilipita katika baadhi ya vituo vya kupigia kura na kudai kupeleka vyakula. Lakini gari hiyo tumeambiwa ilikuwa na kura za bandia zilizofanikiwa kuingizwa kwenye masanduku,”alisema Mollel.

Kadhalika, alieleza kuwa kulikuwa na mapungufu makubwa kwenye fomu za matokeo kwa kuwa baadhi ya fomu hazikuonesha idadi ya kura zilizopigwa.

Mollel alilirushia lawama jeshi la polisi kwa madai kuwa liliwatisha akina mama na wazee kwenda kupiga kura.

“Hakukuwa na vurugu zozote, kwanini kuwatishia wanachi kwa silaha na vifaa vya kivita,” alihoji Mollel.

Matokeo yaliyotangazwa na msimamizi wa uchaguzi huo uliofanyika Jumapili, Disemba 13 yalimpa ushindi Godlbess Lema kwa kupata kura 68,848 sawa na asilimia 65.9 huku Philemon Mollel akipata kura 35,607 sawa na asilimia 34 ya kura zote halali zilizopigwa na kuhesabiwa.

Comments

Popular posts from this blog

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...