Skip to main content

Sadaka ya Mkesha wa Mwaka Mpya kuweka umeme Tabora



Kanisa la ‘Tanzania Fellowship of Churches’ ambao ndio waandaaji wa mkesha mkubwa kitaifa wa mwaka mpya wa 2016 limeeleza kuwa fedha zitakazotokana na sadaka za................ siku hiyo zitaelekezwa kusaidia upatikanaji wa nishati ya umeme wa jua ya Solar Power katika hospitali mbalimbali za Tabora vijijini.

Mkesha huo utakaofanyika usiku wa Desemba 31 mwaka huu, kwenye uwanja wa Uhuru utajumuisha Watanzania wote bila ya kujali dini, kabila wala rangi, kwa lengo la kufanya dua maalum la kuliombea Amani Taifa la Tanzania ikiwa ni mwaka wa 18 tangu kuanza kufanyika mikesha hiyo.

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Mkesha huo, Askofu Godfrey Malassy amesema kuwa wametambua shida wanazozipata wakinamama wa Tabora vijijini kwa kujifungua katika giza na hata kusababisha vifo hivyo wanadhamiria kupeleka michango hiyo kununua Solar kwa kusaidia kupunguza adha hizo.

“Zipo njia nyingi za kukusanya michango hii na kuhakikisha inafika sehemu husika ikiwa ni pamoja na kwa njia ya simu, sadaka zitakazokusanywa uwanjani na watu kununua vitabu vya “IJUE SIRI YA AMANI KWA TAIFA” vitakavyomwezesha mtanzania kutambua jinsi gani nchi yetu inaweza kuishi kwa amani” amesema Askofu Mallassy.

Mallasy amesema kuwa Mgeni rasmi wa usiku wa mkesha huo anatarajiwa kuwa rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...