Skip to main content

Serikali Kugawa BURE Mbegu za Mazao Yanayohimili Ukame kwa Wananchi Wanao kabiliwa na Njaa


Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu maafa imeanza mkakati wa menejimenti ya maafa ya ukame kwa kuwawezesha wananchi wanao kabiliwa na njaa kuweza kukabili maafa hayo kwa kuwagawia wananchi hao mbegu bure za mazao yanayohimili ukame katika halmashauri husika.

Kufuatia hali ya ukame ambao umezikumba baadhi ya halimashauri hapa nchini katika msimu wa 2014/2015, baadhi ya halmashauri hizo zilipata upungufu wa chakula hali iliyopelekea halmashauri hizo kuomba chakula cha msaada Ofisi ya Waziri Mkuu Idara ya Uratibu maafa.

Akiongea wakati wa ziara ya kukagua hali ya upungufu wa chakula katika kata ya Malengamakali, wilayani Iringa Tarehe 11 Januari, 2016, Mkurugenzi wa Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya amebainisha kuwa mkakati uliopo ni kuwahamasisha wananchi walime mazao yanayohimili ukame.

“Nashauri watendaji wakuu wa Halmashauri na mikoa kupitia kamati za maafa waorodheshe wananchi wote wanaohitaji mbegu hizo na kuwasilisha katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu maafa na Ofisi yangu itatuma fedha za kununua mbegu hizo ili zigawiwe bure kwa wananchi wengine wenye upungufu wa chakula, tunahitaji wananchi wote wawe na uhakika wa chakula .” amesema Brig. Jen. Msuya.

Awali akiongea katika ziara hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Halmashauri ya Iringa, Richard Kasesela, alibainisha kuwa katika kukabiliana na upungufu wa hali ya chakula halmashauri hiyo imefanya uhamasishaji wa kilimo cha zao la Mtama amabalo ni zao linalovumilia ukame na mazao mengine yanayokomaa kwa muda mfupi kama vile viazi vitamu.

“Uhamasishaji umefanyika katika Tarafa za Isimani, Idodi, Pawaga na Kalenga (mfyome), tumeanzisha na sheria ndogo ya kilimo ambayo inaitaka kila kaya kulima mtama ekari mbili katika kata hizi na atakayekiuka sheria hii adhabu yake ni kulipa kiasi cha fedha shilingi 50,000/=” alisisitiza Kasesela.

Katika kukabiliana na upungufu wa chakula Halmashauri ya Iringa iliomba chakula cha msaada kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu Maafa, ikiwa hadi kufikia Disemba 2015, tayari tani 4, 546 zilikuwa zimeletwa wiliyani humo ambazo zimesambazwa katika Kata 11, vijiji 42 katika maeneo yenye upungufu wa chakula.

Comments

Popular posts from this blog

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama Pichaz 14 za Kilimanjaro Stars ilivyowasili uwanja wa ndege wa JKIA Dar baada ya kutolewa Challenge

Timu ya taifa ya  Tanzania  bara  Kilimanjaro Stars  imewasili  Dar Es Salaam  December 2 ikiwa ni siku mbili zimepita toka itolewe na timu ya taifa ya  Ethiopia  katika michuano ya mataifa ya  Afrika Mashariki  na kati maarufu kama  CECAFA Senior Challenge Cup 2015 .  Kilimanjaro Stars  itolewa na  Ethiopia  katika hatua ya robo fainali kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 1-1. Naomba nikusogeze pichaz 15 za timu ya taifa ya  Tanzania  Bara  Kilimanjaro Stars  ikiwasili uwanja wa ndege Dar Es Salaam. Himid Mao baada ya kuwasili Nahodha wa Kilimanjaro Stars John Bocco baada ya kutua Dar akielekea katika basi. John Bocco na kocha mkuu na msaidizi wake wakizungumza jambo Shomari Kapombe ndani ya basi la timu ya Taifa Hassan Kessy akipanda basi la Stars Mshauri wa Kilimanjaro Stars na kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa aki...