Skip to main content

Posts

SHULE YA WAMA – NAKAYAMA WAPEWA VIFAA VYA MICHEZO!!

Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Montage Tanzania,  Teddy  Mapunda  wa tatu kutoka (kulia) akimkabidhi  mpira Mwanafunzi wa  kidato cha kwanza  wa Shule ya  Sekondari ya  wasichana  ya  WAMA  - Nakayama iliyopo Rufiji, mkoani Pwani  Rehema  Mshama(kulia)  ikiwa ni mchango wake katika kuwasaidia watoto yatima  na  wanaoishi katika mazingira  hatarishi  ili  waweze kujiendeleza katika sekta ya michezo. Makabidhiano hayo yalifanyika leo  kwenye ofisi ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), jijini Dares Salaam. Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Montage Tanzania, Teddy  Mapunda  wa nne kutoka (kushoto ) akimkabidhi  mpira  Mwalimu wa   Michezo wa  Shule ya Sekondari ya WAMA-  Nakayama iliyopo Rufiji, Mbwana  R. Mbwana  wa tatu kutoka (kulia) ikiwa ni mchango wake katika  kuwasaidia watoto  yatima  na...

SHULE YA WAMA – NAKAYAMA WAPEWA VIFAA VYA MICHEZO!!

Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Montage Tanzania,  Teddy  Mapunda  wa tatu kutoka (kulia) akimkabidhi  mpira Mwanafunzi wa  kidato cha kwanza  wa Shule ya  Sekondari ya  wasichana  ya  WAMA  - Nakayama iliyopo Rufiji, mkoani Pwani  Rehema  Mshama(kulia)  ikiwa ni mchango wake katika kuwasaidia watoto yatima  na  wanaoishi katika mazingira  hatarishi  ili  waweze kujiendeleza katika sekta ya michezo. Makabidhiano hayo yalifanyika leo  kwenye ofisi ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), jijini Dares Salaam. Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Montage Tanzania, Teddy  Mapunda  wa nne kutoka (kushoto ) akimkabidhi  mpira  Mwalimu wa   Michezo wa  Shule ya Sekondari ya WAMA-  Nakayama iliyopo Rufiji, Mbwana  R. Mbwana  wa tatu kutoka (kulia) ikiwa ni mchango wake katika  kuwasaidia watoto  yatima  na...

HIZI NDIZO SABABU ZILIZOFANYA BELL 9 NA ROMA KUPELEKWA POLICE

Kama miaka 2 iliyopita hivi kulikuwa na show ya X -MASS MWANZA!! aaaf kesho yake 26th ilikuwa MUSOMA!! ilikuwa ni mimi na belle 9 na band fulani hii ya wakongo!!! Sasa kiufupi tu ile show ya 25th ya X -MASS pale GOLD CREST MWANZA ilifeli hivi(obvious haikutangazwa so wakaifelisha wenyewe waandazi)!! lakini sisi mtonyo wetu tulikuwa tumeshabeba bfr!! So kutokana na hali ile yule big boss akatutengenezea picha fulani hivi asubuhi ya kesho yake tulipoamka tu!! Yeye alitaka tukafanye show ya bure musoma kesho yake kama kulipizia show yake ya mwanza iliyofeli..... TULIPOKATAA jamaa akatumia UTARIME WAKE/ UBABE NA KUJUANA NA WADAU WA MWANZA AKATUITIA POLICE ASUBUHI PALE HOTELINI...anajua mwenyewe alivyowapiga kiswahili askari hadi wakajaa!! Wana tukabebwa nini..... haoooooo hadi kituoni!!! Sasa kwakuwa jana yake ilikuwa sikukuu, basi walikuwa wamekamatwa vijana wengi sana kwa makosa mbali mbali wakiwa mahabusu ya pale...... Aisee vile tunafika tu tunaambiwa aya v...

UGAWAJI WA CHAKULA WAANZA NGORONGORO

Ugawaji wa Chakula Ngorongoro,Picha na Gladness Mushi, Arusha Wakazi wa eneo la mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro wakipokea chakula cha msaada kutoka kwa uongozi wa Ngorongoro Conservation Are Authority (NCAA) ikiwa ni agizo kutoka kwa waziri mkuu mizengo pinda. Tani 7000 zimegawiwa kwa familia 20,000 za jamii ya wamasai wanaoishi katika hifadhi hiyo. Idadi ya watu ndani ya NCAA kwa sasa ni zaidi ya 87,000 na wote wakiwa na mahitaji makubwa ya chakula kwani hawaruhusiwi kulima ndani ya eneo la NCAA. Hivi karibuni wamasai hao wamejukuta wakikumbwa na baa la njaa baada ya ukame ulioathirini eneo lao kwa miaka mitatu mfululizo kuteketeza mifigo ambayo hasa ndiyo tegemeo lao la maisha. Ugawaji wa chakula umeanza katika kata ya Olbalbal na utaendelea kwenye maeneo mengine huku NCAA ikijiandaa kununua tani zingine 29,000 za mahindi kutoka wilayani Karatu kwa ajili ya kuongeza mgawo huo wa chakula.

HII NDIO TIBA ASILIA YA KUACHA KUPIGA PUNYETO

             Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tab...

FRANCIS MIYEYUSHO AMTWANGA SADIKI MOMBA KWA POINTI

Bondia Sadiki Momba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Francis Miyeyusho wakati wa mpambano wao usiokuwa wa ubingwa uliofanyika siku ya jumapili katika ukumbi wa   Friends Coner  Manzese Dar es salaam Miyeyusho alishinda kwa pointi picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com Bondia Sadiki Momba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fransic Miyeyusho wakati wa mpambano wao usiokuwa wa ubingwa uliofanyika siku ya jumapili katika ukumbi wa   Friends Coner  Manzese Dar es salaam Miyeyusho alishinda kwa pointi. refarii Sako Mtlya akimnyoosha mkono juu bondia  Fransic Miyeyusho baada ya kumgalagaza Bondia Sadiki Momba wakati wa mpambano wao. Bondia Mussa Sunga kushoto akipambana na Fahiri Awadhi wakati wa mpambano wao uliofganyika jumapili Awadhi alishinda kwa Point.  Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kushoto akitoa maelezo ya DVD zake zenye mabambano ya ngumi makali...

TAASISI YA HASSAN MAJAAR TRUST YACHANGISHA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 200 IKIWA NI MWENDELEZO WA KAMPENI YAO YA “DAWATI KWA KILA MTOTO”

Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Maajar, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar, akiongea wakati wa hafla ya chakula cha jioni ilioandaliwa na taasisi hiyo kwa ajili ya kuchangisha fedha kufanikisha kampeni ya “Dawati kwa kila mtoto” inayoendeshwa na taasisi hiyo. Kulia ni Mwenyekiti wa Bank M, Bw.Nimrod Mkono(MB) akisikisiliza kwa makini kwenye hafla hiyo ambapo zaidi ya Shilingi Milioni 200 zilichangishwa kwenye hafla hiyo. Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Maajar, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar akiwatambulisha baadhi ya viongozi wa Taasisi hiyo wakati wa chakula cha hisani kwa ajili ya kuchangisha fedha za kununulia Madawati kwa shule za msingi nchini. Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Maajar, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar akiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba, Dr. Salim Ahmed Salim pamoja na Jaji Mkuu Mstaafu Agustino Ramadhani. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa akifurahi jambo na Mwenyekiti wa Tu...