Skip to main content

Posts

Showing posts from January 17, 2016

soma Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili Ya Leo Januari 24

Lowassa Apata Mapokezi Makabuwa Dakawa Wakati Akiwa Njiani Kuelekea Dodoma

Aliyekuwa mgombea Urais  katika uchaguzi wa Oktoba mwaka jana kwa tiketi  ya  UKAWA, Edward Lowassa jana alipata mapo

IDEO: JWTZ Yafafanua Kuhusu Rais Magufuli Kuvaa Mavazi ya Kijeshi

January 22, 2016 akiwa njiani Kutoka Arusha Mjini kwenda Monduli kufunga  "Zoezi Onesha Uwezo Medani"  lililofanywa na

Medeye na Guninita Wamvaa Benard Membe Baada ya Kusema Hujisikia Kichefuchefu Akionana na Makada Walioihama CCM

Siku moja baada ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kusema akionana na waliokuwa wanachama wa CCM na kuhamia upinzani anajisikia kichefuchefu, waliokuwa

Hivi ndivyo Nuh Mziwanda na Shilole walivyotifuana live kwenye kipindi cha TV

Shilole na Nuh Mziwanda walikua wanabongofleva walio mapenzini ambapo Shilole alishavishwa pete ya uchumba zaidi ya mwaka mmoja uliopita, kwenye Interview na Millard Ayo December 2015 alisema yuko tayari kwa ndoa na Nuh, japo alishawahi kusema hatoolewa tena… alimsifia Nuh kama Mwanaume wa kipekee lakini mdudu mbaya akaingia wakaachana mwishoni mwa mwaka 2015. Baada ya kuona pande zote mbili zinazungumza kwa nyakati tofauti na kuonyesha kama kuna uwezekano wa kurudiana, show ya  D’Wikend   CloudsTV  ikawafanyia suprise kuwakutanisha bila wenyewe kujijua…. tazama hii video hapa chini