Skip to main content

Posts

Showing posts from April 28, 2013

Israel yashambulia ghala ya silaha Syria

Serikali ya Syria bado haikusema kitu kuhusu taarifa kutoka wakuu wa Marekani kwamba ndege za Israel zimefanya mashambulio katika ardhi ya Syria, ambako inaarifiwa ghala ya silaha imeshambuliwa. Wakuu wanasema makombora yalifyatuliwa kutoka ndege za Israel ambazo ziliruka kwenye anga ya Libnan, nchi ya jirani. Huku nyuma kuna taarifa za mauaji zaidi katika miji ya pwani ya Syria kukiwa na tuhuma kuwa raia wengi wamechinjwa na wanajeshi wa serikali na wanamgambo. Wanaharakati wanaripoti kuwa mauaji ya pili yamefuatia yale ya kwanza katika eneo hilo-hilo la mwambao kaskazini-magharibi mwa Syria. Wanasema mauaji ya kwanza yalifanywa kwenye kijiji cha al-Beida cha Wasunni, ambacho kilivamiwa na wanajeshi wa serikali siku ya Alkhamisi. Wanaharakati wamewataja watu 50 ambao wanasema walichinjwa kati yao wakiwemo wanawake

HIZI HAPA PICHA ZA UCHI ZA MSANII SAPNA WA STEVE R &B

WAKATI mabinti wengi hasa mastaa wa Bongo wakijuta baada ya picha zao za utupu walizopigwa na wapenzi wao kuvuja, kwa msanii mrembo aliyepamba video ya wimbo wa Bongo Fleva uitwao Jambojambo wa msanii Steve R&B, Aisha Firozi ‘Sapna’ ni kawaida kwani hujifotoa mwenyewe. Chanzo makini cha Risasi  kimewasilisha folda lenye picha za kutosha za mrembo huyo akiwa mtupu huku kikieleza kwamba ni mchezo wake kujipiga mwenyewe picha hizo.   Kwa sharti la kutochorwa jina lake , chanzo hicho ambacho kipo  aribu na Sapna kilisema: “Yule ni mtu wangu wa karibu sana, lakini tabia yake kwa kweli huwa siipendi kabisa. Anajipiga picha chafu mwenyewe, kwake ni starehe kubwa, huwezi kuamini.”   Kikiendelea  ufunguka zaidi, chanzo hicho kilipasha kuwa, picha hizo amejipiga hivi karibuni nyumbani kwa rafiki yake aitwaye Doreen, Tabata - Magengeni jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akiishi naye. KAULI YA  SAPNA..... Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni; Sapna al

"NINA UHURU WA KUTOA PENZI KWA MTU YEYOTE NINAYEMPENDA.....WANAODAI NATEMBEA NA WAUME ZA WATU NI WANAFIKI".......AGNESS MASOGANGE

MWANADADA anayejipatia umaarufu kupitia video za wasanii wa muziki wa kizazi kipya,  Agness Masogange , ameuambia mtandao huu kuwa hatumii mwili wake kama chombo cha kuwakamata wanaume bali hutoa penzi lake kwa yule anayempenda na ishu zinazozungumzwa mitaani kuwa anaongoza kwa kuiba wanaume za watu si kweli na wanaodai hivyo hawamtakii mema. Mwandishi wetu alizungumza na mwanadada huyo juu ya ishu kadhaa zinazongumzwa juu yake, ndipo alipofunguka kuwa hatumia uzuri wake au umbo lake kama njia ya kuwavuta wanaume kwani angeamua kufanya hivyo basi angekuwa na wanaume wengi sana. “Mwili wangu si chombo cha kuwakamata wanaume na hao watu wanaosema kuwa naongoza kwa kutembea na wanaume za watu ni wale wenye nia ya kunichafua kwani mi si demu wa hivyo,” alidai

" MAKALIO YANGU BADO YANALIPA..."AGNESS MASOGANGE

Mrembo  asiyeishiwa  na  vituko  maarufu  kwa  jina  na  Masogange  ameamua  kuvunja  ukimya   wa  muda  mrefu  kwa  kuyanadi  makalio  yake.......   Kumbukumbu  zetu  zinaonesha  kwamba Masogange  ni  miongoni  mwa  wasanii  waliopata  umaarufu  nchini  Tanzania  kwa  kupiga  picha  za  uchi  na  kucheza  movie  za  Uchi  mithili  ya  wacheza  XXXXX.... Mwaka  jana  alianza  hivi  hivi.Alivyoona  watu  wamekupotezea   aliamua  kuvua  nguo  zote  na  kujianika  mtupu,tena  katika  VIDEO  ambazo  zipo  mtandao  hadi  leo.... Kwa  mbwembwe  tena  mwaka  huu  kaanza  kwa  staili  ileile  ya  kuyanadi  makalio  yake  mitandaoni  akidai  kuwa  bado  yanalipa

MWANAFUNZI WA CHUO CHA IFM -DAR AFARIKI DUNIA KWA KULISHWA SUMU NA MKE WA MTU.....

Habari   zilizotufikia  toka  IFM- Dar es salaam  ni  kwamba  mwanafunzi  mmoja ambaye  bado  hatujafanikiwa  kulipata  jina  lake  amefariki  dunia  kwa  kulishwa  sumu  katika  chakula  alicholetewa  na  mpenzi  wake  ambaye  ni  mke  wa  mtu...... Taarifa  zaidi  zinadai  kwamba Mwanafunzi huyo alikuwa na uhusiano wa karibu sana na mke  wa mtu  ambaye  mbali  na  starehe  za  kimapenzi  alikuwa  pia  anampekea  chakula  cha  jioni Baada ya  mchezo  huo  kudumu  kwa  muda, mume wa  mwanamke  aliusoma  mchezo  mzima  na  kuandaa  tego  la  kuwaangamiza  wote.... Habari  zinadai  kwamba  Siku ya jumatano jioni mwanaume  huyo aliwahi  kurudi  nyumbani   na  kufanikiwa  kukinasa  chakula  kilichokuwa  kimeandaliwa  tayari  kwa  kupelekwa  kwa  huyo  mwanafunzi  ambaye  alikuwa  anatembea  na  mke wake..... Baada  ya  kukinasa, alijifanya  kuzuga  na  kupotezea...Mkewe  alipotoka  alikichukua  na  kukitia  sumu  chakula  hicho  na  kisha  kukiweka   kama  kil

HII HAPA MAJIBU YA RUGE MTAHABA KWA LADY JD!

Kwenye kipindi cha Power Breakfast kitakacho rushwa siku ya jumatatu saa mbili asubuhi Ruge Ataongelea issue ya Jay Dee ,Lady Jay Dee ameingia kwenye vita kali na Clouds Fm huku akimshambulia Joseph Kusaga na Ruge Mutahaba kwa madai kuwa ndio wanaokula jasho la wasanii

JE WAJUA KUWA ULIMI WAKO KABURI LA MAPENZI YAKO!

  Kwa kuanzia pale tulipoishia wiki iliyopita, tukiwa katikati ya mfano wa uhusiano wa kimapenzi kati ya Raja na Jane, tulishaona jinsi ambavyo Raja alishangazwa na majibu ya Jane akimjibu rafiki yake: “Nikipata mimba ‘naflash’ wala hakuna mgogoro kabisa.” Siku zilivyokwenda mbele, Raja alimzoea Jane. Sasa akawa na ujasiri wa kuhoji baadhi ya vitu. Siku moja Raja aliumwa na kulazwa kwenye hospitali moja iliyopo Kinondoni, Dar es Salaam.  Jane alipokwenda kumwona, akamwambia: “Baby hii hospitali wanatoa sana mimba.” Raja akashtuka kusikia kauli hiyo kutoka kwa mwenzi wake, akaiunganisha na ya siku ile alipokuwa anataniana na rafiki yake: “Nikipata mimba ‘naflash’, mbona kitu rahisi!”   Vilevile  Raja akayakumbuka maneno ya yule rafiki wa Jane: “Umezoea eeh, shauri yako!” Hapohapo, Raja akamwuliza Jane: “Wewe umejuaje kama hapa wanatoa mimba?” Jane akajibu: “Najua tu, si unajua mimi ni mwanamke?” Raja: “Ukiwa mwanamke ndiyo ujue sehemu za kutoa mimba?” Jane: “Je, n

HAWA NDIO WAIGIZAJI WA TANO AMBAO JB ANAWAKUBALI

BONGE la Bwana, Jacob Steven ‘JB’ ameweka plain kuwa mwigizaji anayeongoza kwa kuuvaa uhusika katika sinema za Bongo ni Irene Paul ambaye anakamata namba moja katika Top Five ya mastaa wa kike anaowakubali. Akizungumza na paparazi wetu jijini Dar juzi, JB alisema mtu anapofanya kazi nzuri ni lazima umpongeze na hakuna sababu ya kumbania hivyo, kutokana na kiwango alichonacho Irene Paul, hakuna staa wa kike yeyote nchini aliyekifikia. “Unajua nini? Mtu anapofanya kitu kizuri lazima ukipongeze na mimi nampongeza sana Irene amekuwa akijitahidi katika kucheza filamu kwa kiwango cha juu mno, namkubali  kwa kweli,” alisema na kuongeza: “Hakuna kitu kizuri kama kupongezana wenyewe kwa wenyewe, hiyo itamjenga mtu na kumfanya azidi kusonga mbele siku hadi siku na jambo zuri zaidi ni kusaidiana.”  Licha ya Irene Paul wasanii wake wengine anaowakubali ni Irene Uwoya, Riyama Ally, Aunt Ezekiel na Wema Sepetu.

BODI YA FILAMU YAWABADILISHA MAYA NA CATHY

BAADA ya bodi ya filamu kupiga marufuku uvaaji wa vimini kwa wasanii wa filamu Bongo, wasanii wakongwe, Mayasa  Mrisho ‘Maya’ na Sabrina Rupia ‘ Cathy’ wameamua kuja kivingine baada ya kuamua kutinga vitu vya asili. Wasanii hao walinaswa na paparazi wetu hivi karibuni kwenye Kijiji cha Makumbusho, jijini Dar walipokuwa wakirekodi filamu na walipoulizwa walifunguka kuwa kwa sasa watakuwa wakilipuka mitoko ya vikoi kuhofia adhabu licha ya kuwapendeza. “Baada ya kupigwa vimini marufuku tumeamua kupigilia hivi kiasili na unaona tunavyopendeza maana tunaonekana ni wanawake wa Kiafrika kweli tutakuwa tunavaa hivi kuanzia sasa,” alisema Cathy  na kuongeza: “Tutapata shida pale tutakapohitajika kuigiza kuvaa kama mwanamke malaya!”

PENNY AKANNUSHA KUWA HANA MIMBA YA DIOMOND

HIVI karibuni, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aliripotiwa na gazeti moja la Global Publishers akisema demu wake ambaye ni ‘prizenta’ wa Runinga ya DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ ana ujauzito wake na kwamba amemnunulia ‘mkoko’ (gari) la mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kwenda nalo kliniki, Penny ameifungukia kauli hiyo. Akizungumza na mapaparazi wetu kwa njia ya simu jijini Dar juzikati, mrembo huyo alionesha hali ya kupaniki huku aking’aka na kushangazwa na habari hizo za ujauzito. Alisema amekuwa akisoma habari za ‘mimba’ yake kupitia magazeti lakini hajaulizwa na mwandishi yeyote, jambo linalomshangaza sana. Alipoambiwa kwamba aliyesema habari kwamba yeye ana mimba ni Diamond, Penny alisema: Namshangaa! Ni mimba ipi kwanza? Alikwenda mbele zaidi kwa kusema mbali na madai ya mimba, lakini pia uhusiano wake na msanii huyo unamnyima raha kutokana na maneno ya watu. Baada ya waandishi kujitambulisha, mahojiano yalikuwa hivi: Funguka: Vipi, ujauzito unaende

KABURI LA KANUMBA LA TUMIKA KAMA CHANZO CHA KIPATO!

KATIKA kile kinachoonekana kwamba ni wizi mtupu, baadhi ya vijana wanaojifanya kutunza Makaburi ya Kinondoni wamebuni njia ya kuwaibia watu kwa kutumia kaburi la nguli wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Kanumba. Vijana hao hujipatia kipato kwa kuwatoza watu wanaofika makaburini hapo shilingi 5,000 kwa ajili ya kuliona na kupiga picha na kaburi la nguli huyo.

HII NDO MBINU SIMBA WATAKAO UTUMIA KATIKA KUIMALIZA YANGA!

Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Liewig ametamka kuwa silaha yake kubwa kwenye mchezo wa Yanga ni kasi ya wachezaji wake, ingawa amekiri wanatakiwa kuwa makini kwa dakika zote 90 za mchezo.   Mfaransa huyo alisema jijini Dar es Salaam kuwa tayari wamepoteza ubingwa wa ligi pamoja na nafasi ya pili ambayo ingeweza kuifanya timu hiyo ishiriki Kombe la CAF mwakani.   "Hatuna nafasi tena ya kushinda taji la ligi kwa msimu huu wala kumaliza katika nafasi ya pili ambayo ingetupa fursa ya kushiriki Kombe la CAF mwakani. "Kilichobaki ni kulinda heshima yetu kwa kuwafunga mabingwa (Yanga) katika mchezo wetu wa mwisho hiyo Mei 18. Timu yangu ya Simba ina wachezaji wengi vijana ambao wana kasi kubwa kuwazidi Yanga." alisema kocha huyo aliyerithi mikoba ya Mserbia Milovan Cirkovic aliyetupiwa virago na klabu hiyo mwaka jana.   Kocha huyo aliongeza; "Yanga ni timu nzuri hakuna mtu anayepinga hilo, lakini haiwezi kumudu kasi ya wachezaji wangu vijana.

HAWA HAPA MAJAMBAZI WATANO WALIOUWAWA NA POLISI JIJINI MBEYA!

Kamanda diwani akiwaonyesha moja ya jambazi lililokuwa limeshika silaha Hii ndiyo Gari iliyotumiwa na majambazi hayo Siraha walizokuwa wanatumia majambazi hayo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani amewaambia Wandishi wa Habari Ofisini kwake kuwa Tukio hilo limetokea leo majira ya saa Sita Mchana katika kijiji cha Garijembe Wilaya ya Mbeya katika Barabara ya Mbeya Tukuyu. MTANDAO wa Ujambazi nchini hususani Mkoani Mbeya umezidi kusambaratishwa  baada ya watu watano wanaodhahaniwa kuwa ni majambazi kuuawa katika majibizano na Askari wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani amewaambia Wandishi wa Habari Ofisini kwake kuwa Tukio hilo limetokea leo majira ya saa Sita Mchana katika kijiji cha Garijembe Wilaya ya Mbeya katika Barabara ya Mbeya Tukuyu.   Alisema baada  ya  Jeshi la Polisi kupata taarifa za Kinterejensia waliwek

HIVI NDIVYO KAULI YA KALA JEREMIAH JUU YA TUZO ZA KILI MISIC AWARDS

      sASA KAZI IMEANZA NAWAOMBA MSAADA WENU WA HALI NA MALI, MWAKA HUU NIMEFANIKIWA KUINGIA KWENYE CATEGORIES NNE ZA KILIMANJARO MUSIC AWARDS. SASA MUDA WA KUPIGA KURA UMEFIKA KUANZIA LEO NIPIGIE KURA ILI UNIWEZESHE KUSHINDA TUZO AMBAZO NAWANIA 1 WIMBO BORA WA MWAKA 2 MSANII BORA WA HIP HOP 3 MTUNZI BORA WA MASHAHIRI YA HIP HOP 4 WIMBO BORA WA HIP HOP JINSI YA KUNIPIGIA KURA KWA NJIA YA MESEJI (SMS) 1 andika AA1 kisha tuma kwenda 15345 2 andika AH3 kisha tuma kwenda 15345 3 andika AW3 kisha tuma kwenda 15345 4 andika BT3 kisha tuma kwenda 15345 KWA NJIA YA MTANDAO 1 www.kilitimetz.com 2 ktma2013@innovecdc.com KUMBUKA KILA CATEGORIE INAJITEGEMEA SO PIGIA KURA CATEGORIES ZOTE NNE ASANTE SANA

HIZI HAPA PICHA ZA LADJAYDEE AMBAZO ZITATUMIKA KWENYE KAVA YA ALBAM YAKE MPYA

NOTHING BUT THE TRUTH Na Ukweli siku zote hukuweka huru Nataka kuwa huru, na nitakuwa huru Sooner or Later For Album Cover??? Nooooo!!!! Just pics

Soma Ujumbe Mzito wa Lady Jay Dee Kuhusu Akifa Leo Clouds Fm wasimjue na Wasimtambue

    WOSIA WANGU KAMA IKITOKEA NIMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE AU JOE KUSAGA Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia mambo mengi, magumu na mepesi Na bado naendelea ku experience mambo magumu zaidi kadri ninavyozidi kuwa mkubwa. Siku za karibuni nimekuwa nikipigwa vita sana na watu wenye uwezo mkubwa kifedha , ki umri na hata wenye ukubwa wa connection katika hii industry ya muziki. Wanaomiliki chombo cha habari. Nasimama na kusema kuwa sitokata tamaa, kwani lengo lao kubwa ni kuona na kuhakikisha nimeanguka kabisa na sipo katika ramani ya muziki. Watu hao ambao vita yao ilikuwa baridi miaka kumi iliopita, sasa inazidi kuwa moto baada ya kutambua kuwa mimi ni mtu mwenye maamuzi yangu na misimamo yangu bila kuburuzwa. Wanapita kila mahali kuhakikisha kila mrija unaoniingizia chochote unakatika, na hiyo ni kutaka kuuthibitishia umma wa Tanzania kuwa hakuna msanii anaeweza

NITAGOMBEA URAIS MWAKA 2015 ENDAPO WANANCHI WENGI WATANIOMBA NIFANYE HIVYO"....BENARD MEMBE

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, amesema atakuwa tayari kuwania urais mwaka 2015, iwapo wananchi wataona anafaa na kumtaka afanye hivyo.  Alisema hayo juzi wakati akijibu maswali ya mwandishi wa habari hii mjini Iringa, baada ya kumalizika kwa kongamano la vyuo vya elimu ya juu mkoani hapa, lililofanyika katika ukumbi wa St. Dominic. Membe aliyekuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo, alisema ingawa muda wa kufanya uamuzi kuhusu mwaka 2015 bado na chama hakijatoa utaratibu, lakini atasubiri ushauri wa Watanzania. "Naomba kurudia, mimi nilishapata kuueleza umma kuwa muda bado haujafika wa kutangaza kugombea urais ...ila nasema hivi natarajia sana ushauri wa Watanzania.  “Iwapo Watanzania wataniona nafaa na kunitaka nigombee, nitapima mawazo yao na iwapo ni wananchi wengi watakaoniunga mkono kutaka nigombee, basi nitachukua fomu na kuijaza ili nigombee nafasi hiyo kwani sauti ya wengi ni sauti ya Mungu," al

RAIS OBAMA AMPONGEZA MWANAUME SHOGA ALIYEJITANGAZA HADHARANI

RAIS OBAMA AMPONGEZA MWANAUME SHOGA ALIYEJITANGAZA HADHARANI Mchezaji wa mpira wa kikapu nchini Marekani mwenye asili ya Afrika Jason Collins amejitangaza kuwa yeye ni shoga hatua ambayo imewashitua watu wengi hususani wapenzi wa mchezo huo. Jason Collins anakua mchezaji wa kwanza wa kimataifa mwanaume ambaye bado anacheza mpira wa kikapu kutangaza kuwa ni shoga huku akisema kuwa yeye ni mwanamme mweusi na ni shoga. Rais wa Marekani Barack Obama amempongeza mwanababa huyo shoga mwenye umri wa miaka 34 anayecheza katika ligi ya NBA kwa kujitangaza hadharani. Rais Obama ambaye mwaka jana alitangaza kuunga mkono ndoa za mashoga alimpigia simu Collins na kumpongeza kwa ujasiri alioonyesha na amesema atamuunga mkono. Mchezaji wa zamani wa NBA John Amaechi mwaka 2007 alijitokeza hadharani na kutangaza kuwa ni shoga lakini yeye alifanya hivyo akiwa tayari amestaafu kucheza kikapu. Naye Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton alimpigia simu Collins

ADAM JUMA AMEMKOSOA NISHER KUPITIA VIDEO YA MAMA YEYOO

  FAHAMU ALICHOANDIKA ADAM JUMA WA VISUAL LAB NA JIBU LA NISHER KUHUSU VIDEO YA G-NAKO 'MAMA YEYOO' Baada Ya Video Ya Mama Yeyoo Kutoka Adam Juma Wa Visual Lab Ambaye Pia Ndio Mtayarishaji Bora Wa Video Hapa Tanzania Alitoa Maneno Machache Ya Kujenga Kuhusu Video Hio Na Mtayarishaji Wake. Jibu La Nisher Ambaye Ndio Mtayarishaji Wa Video Ya Mama Yeyoo Ndio Hili.