Skip to main content

HIVI NDIYO DAKIKA 90 YA MECHI KATI YA AZAM NA YANGA! HABARI ZAIDI BOFYA HAPA............

: AZAM FC 0 - 1 YANGA (DAKIKA 90 YA MCHEZO)



Dk 90+5 FULL TIME! YANGA 1-0 AZAM.

Dk 90+4 Kavumbagu anaangushwa ndani ya eneo la hatari lakini mwamuzi anapeta. Kavumbagu na Mwantika wanaumia baada ya tukio hilo.

Dk 87 Cannavaro wa Yanga anaonyeshwa kadi ya njano.

Dk 87 Azam imefanya mabadiliko, ametoka Bolou ameingia Jabir Azizi. Yanga 1-0 Azam.

Dk 86, Seif Abdallah wa Azam anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kumchezea vibaya Niyonzima.

Dk 85 Beki wa Yanga, Kelvin Yondan anaumia na kutibiwa kwa muda baada ya kuchezewa vibaya na viungo wa Azam.

Dk 82 Yanga inafanya mabadiliko, ametoka Kiiza ameingia Said Bahanunzi. Yanga 1-0 Azam.

Dk 80 Mustapha anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kutibiwa. Anaonekana alikuwa anapoteza muda.Dk 77 Kipa wa Yanga, Ali Mustapha anaumia baada ya kukanyagwa na Seif Abdallah. Mpira umesimama na Mustapha anatibiwa. Yanga 1-0 Azam.

Dk 72 Azam imefanya mabadiliko, ametoka Mcha ameingia Seif Abdallah.

Dk 71 Tchetche anakosa bao la wazi kwa shuti lake kupanguliwa na kipa wa Yanga.

Dk 65 Kavumbagu anakosa bao baada ya kugongana na kipa wa Azam.

Dk 64 Yanga inafanya mabadiliko anatoka Tegete anaingia Didier Kavumbagu.

Dk 62 Tcheche anapiga shuti kali langoni kwa Yanga lakini mpira unagonga mwamba wa juu na kutoka nje.

Dk 57 Tegete anafunga bao lakini mwamuzi anakataa na kusema mfungaji aliotea.

Dk 55 Azam wamebadilika na sasa wanacheza soka la kasi na kufika langoni kwa Yanga mara kadhaa.

Dk 50 Mcha wa Azam anaichambua ngome ya Yanga lakini anapiga shuti linalopaa juu ya lango.

Dk 45 Azam imefanya mabadiliko, ametoka Ibrahim Mwaipopo ameingia Himid Mao. Yanga 1-0 Azam.

Dk 45 HALF TIME! YANGA 1-0 AZAM.

Dk 44 Tegete anakosa tena bao la wazi akiwa amebaki na kipa wa Azam. Alikuwa amepewa pasi safi na Hamis Kiiza. Yanga 1-0 Azam.

Dk 41 Tegete anakosa bao la wazi baada ya mpira wa kichwa alioupiga kutoka nje ya lango.

Dk 33 Bocco anaifungia Azam, lakini mwamuzi anakataa bao kwa kuwa kipa wa Yanga Ali Mustapha alichezewa faulo. Bocco analalamikia hali hiyo na mwamuzi anamuonyesha kadi ya njano. Yanga 1-0 Azam.

Dk 31 GOOO....! Niyonzima anaipatia Yanga bao la kwanza kwa shuti kali baada ya kupokea pasi ya Tegete. Yanga 1-0 Azam.

Dk 26 Beki wa Azam, David Mwantika anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kumchezea vibaya Tegete. Yanga 0-0 Azam.

Dk 24 Beki ya Azam inaonekana haijatulia na inajichanganya katika kuokoa.

Dk 20 Atudo wa Azam anaushika mpira na kuutoa nje, mwamuzi Hashim Abdallah anapeta kwa kuwa hajaona.

Dk 19 Timu zinashambuliana kwa zamu.

Dk 16 Jerry Tegete wa Yanga anakosa bao la wazi akiwa amebaki na kipa wa Azam, Mwadini. Anapiga mpira hafifu unaodakwa. Yanga 0-0 Azam.

Dk 12 Beki Jockins Atudo wa Azam anamchezea vibaya Haruna Niyonzima wa Yanga nje kidogo ya eneo la hatari la Azam. Faulo isiyo na madhara inapigwa.

Dk 9 Kipre Tchetche wa Azam anapiga shuti kali langoni kwa Yanga lakini mpira unatoka nje kidogo ya lango.

Dk 4 Hamis Kiiza wa Yanga anakosa bao la wazi baada ya shuti lake kudakwa na kipa wa Azam, Mwadin Ali. Awali mabeki wa Azam walijichanganya katika kuokoa.

Mpira umeanza hapa uwanja wa taifa timu zote zikicheza soka la kasi sana.

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA AZAM
1.Ally Mustafa 'Barthez'
2.Mbuyu Twite
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Kelvin Yondani
6.Athumani Idd 'Chuji'
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo
9.Jerson Tegete
10.Hamis Kiiza
11.Haruna Niyonzima

Subs:
1.Said Mohamed
2.Juma Abdul
3.David Luhende
4.Nurdin Bakari
5.Nizar Khalfani
6.Didier Kavumbagu
7.Said Bahanuzi


KIKOSI CHA AZAM FC

1: Mwadini Ally, Balou Kipre, Kipre Tchetche, Waziri Salum, Jockins Atudo, David Mwantika, Ibrahim Mwaipopo, Salaum Aboubakar, John Bocco, Humphrey Mieno, Mcha Khamis

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog