Skip to main content

HIVI NDIYO DAKIKA 90 YA MECHI KATI YA AZAM NA YANGA! HABARI ZAIDI BOFYA HAPA............

: AZAM FC 0 - 1 YANGA (DAKIKA 90 YA MCHEZO)



Dk 90+5 FULL TIME! YANGA 1-0 AZAM.

Dk 90+4 Kavumbagu anaangushwa ndani ya eneo la hatari lakini mwamuzi anapeta. Kavumbagu na Mwantika wanaumia baada ya tukio hilo.

Dk 87 Cannavaro wa Yanga anaonyeshwa kadi ya njano.

Dk 87 Azam imefanya mabadiliko, ametoka Bolou ameingia Jabir Azizi. Yanga 1-0 Azam.

Dk 86, Seif Abdallah wa Azam anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kumchezea vibaya Niyonzima.

Dk 85 Beki wa Yanga, Kelvin Yondan anaumia na kutibiwa kwa muda baada ya kuchezewa vibaya na viungo wa Azam.

Dk 82 Yanga inafanya mabadiliko, ametoka Kiiza ameingia Said Bahanunzi. Yanga 1-0 Azam.

Dk 80 Mustapha anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kutibiwa. Anaonekana alikuwa anapoteza muda.Dk 77 Kipa wa Yanga, Ali Mustapha anaumia baada ya kukanyagwa na Seif Abdallah. Mpira umesimama na Mustapha anatibiwa. Yanga 1-0 Azam.

Dk 72 Azam imefanya mabadiliko, ametoka Mcha ameingia Seif Abdallah.

Dk 71 Tchetche anakosa bao la wazi kwa shuti lake kupanguliwa na kipa wa Yanga.

Dk 65 Kavumbagu anakosa bao baada ya kugongana na kipa wa Azam.

Dk 64 Yanga inafanya mabadiliko anatoka Tegete anaingia Didier Kavumbagu.

Dk 62 Tcheche anapiga shuti kali langoni kwa Yanga lakini mpira unagonga mwamba wa juu na kutoka nje.

Dk 57 Tegete anafunga bao lakini mwamuzi anakataa na kusema mfungaji aliotea.

Dk 55 Azam wamebadilika na sasa wanacheza soka la kasi na kufika langoni kwa Yanga mara kadhaa.

Dk 50 Mcha wa Azam anaichambua ngome ya Yanga lakini anapiga shuti linalopaa juu ya lango.

Dk 45 Azam imefanya mabadiliko, ametoka Ibrahim Mwaipopo ameingia Himid Mao. Yanga 1-0 Azam.

Dk 45 HALF TIME! YANGA 1-0 AZAM.

Dk 44 Tegete anakosa tena bao la wazi akiwa amebaki na kipa wa Azam. Alikuwa amepewa pasi safi na Hamis Kiiza. Yanga 1-0 Azam.

Dk 41 Tegete anakosa bao la wazi baada ya mpira wa kichwa alioupiga kutoka nje ya lango.

Dk 33 Bocco anaifungia Azam, lakini mwamuzi anakataa bao kwa kuwa kipa wa Yanga Ali Mustapha alichezewa faulo. Bocco analalamikia hali hiyo na mwamuzi anamuonyesha kadi ya njano. Yanga 1-0 Azam.

Dk 31 GOOO....! Niyonzima anaipatia Yanga bao la kwanza kwa shuti kali baada ya kupokea pasi ya Tegete. Yanga 1-0 Azam.

Dk 26 Beki wa Azam, David Mwantika anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kumchezea vibaya Tegete. Yanga 0-0 Azam.

Dk 24 Beki ya Azam inaonekana haijatulia na inajichanganya katika kuokoa.

Dk 20 Atudo wa Azam anaushika mpira na kuutoa nje, mwamuzi Hashim Abdallah anapeta kwa kuwa hajaona.

Dk 19 Timu zinashambuliana kwa zamu.

Dk 16 Jerry Tegete wa Yanga anakosa bao la wazi akiwa amebaki na kipa wa Azam, Mwadini. Anapiga mpira hafifu unaodakwa. Yanga 0-0 Azam.

Dk 12 Beki Jockins Atudo wa Azam anamchezea vibaya Haruna Niyonzima wa Yanga nje kidogo ya eneo la hatari la Azam. Faulo isiyo na madhara inapigwa.

Dk 9 Kipre Tchetche wa Azam anapiga shuti kali langoni kwa Yanga lakini mpira unatoka nje kidogo ya lango.

Dk 4 Hamis Kiiza wa Yanga anakosa bao la wazi baada ya shuti lake kudakwa na kipa wa Azam, Mwadin Ali. Awali mabeki wa Azam walijichanganya katika kuokoa.

Mpira umeanza hapa uwanja wa taifa timu zote zikicheza soka la kasi sana.

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA AZAM
1.Ally Mustafa 'Barthez'
2.Mbuyu Twite
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Kelvin Yondani
6.Athumani Idd 'Chuji'
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo
9.Jerson Tegete
10.Hamis Kiiza
11.Haruna Niyonzima

Subs:
1.Said Mohamed
2.Juma Abdul
3.David Luhende
4.Nurdin Bakari
5.Nizar Khalfani
6.Didier Kavumbagu
7.Said Bahanuzi


KIKOSI CHA AZAM FC

1: Mwadini Ally, Balou Kipre, Kipre Tchetche, Waziri Salum, Jockins Atudo, David Mwantika, Ibrahim Mwaipopo, Salaum Aboubakar, John Bocco, Humphrey Mieno, Mcha Khamis

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...