Skip to main content

HOFU YAZIDI KUTANDA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA KENYA HABARI ZAIDI PITIA HAPAA



ZIKIWA zimebakia siku nane kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Kenya Tume ya uchaguzi imejiandaa kufanya zoezi la maandalizi ya uchaguzi kwa baadhi ya vituo vilivyopo nchini humo.
Zoezi hilo linatarajiwa kufanyika katika kituo kimoja cha kupigia kura katika kila kata yenye jumla ya kata 1,450 kwa nchi nzima.
“Vituo vitakuwa wazi kuanzia muda wa saa 06:00 hadi 05:00 suala hilo halitaaathiri chochote kuhusiana na matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao alisema Mutemi.
Kwa mujibu wa tume hiyo ( IEBC) alisema kuwa wameamua kufanya hivyo ili kuongeza uelewa kwa wananchi kuhusiana na umuhimu wa uchaguzi huo kwa taifa zima .
Kwa upande wake meneja mawasiliano katika tume hiyo Tabitha Mutemi alisema kuwa suala hilo litasaidia katika kupunguza kuharibika kwa kura wala kukataliwa kwa kura hizo katika kipindi cha uchaguzi.
Wapigakura hao wataandikishwa pamoja na karatasi na vifaa vingine vya kupigia kura vitatumika ili kumwezesha kila mmoja kupata nafasi ya kuchagua kati ya nafasi sita.
Nafasi hizo ni pamoja na mwakilishi wa urais, ugavana, useneta, ubunge ,upande wa wanawake pamoja na mwakilishi kwa upande wa nchi.
Aliongeza kuwa karatasi zitakazotumiwa siku hiyo zitakuwa sawa na zile zitakazotumiwa siku ya uchaguzi ambao zaidi ya wapigakura 200 watapata nafasi ya kupiga kura kwa kila nafasi hizo.
Jumla ya marais nane wameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwania kiti hicho cha Urais nchini humo

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...