Skip to main content

HOFU YAZIDI KUTANDA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA KENYA HABARI ZAIDI PITIA HAPAA



ZIKIWA zimebakia siku nane kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Kenya Tume ya uchaguzi imejiandaa kufanya zoezi la maandalizi ya uchaguzi kwa baadhi ya vituo vilivyopo nchini humo.
Zoezi hilo linatarajiwa kufanyika katika kituo kimoja cha kupigia kura katika kila kata yenye jumla ya kata 1,450 kwa nchi nzima.
“Vituo vitakuwa wazi kuanzia muda wa saa 06:00 hadi 05:00 suala hilo halitaaathiri chochote kuhusiana na matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao alisema Mutemi.
Kwa mujibu wa tume hiyo ( IEBC) alisema kuwa wameamua kufanya hivyo ili kuongeza uelewa kwa wananchi kuhusiana na umuhimu wa uchaguzi huo kwa taifa zima .
Kwa upande wake meneja mawasiliano katika tume hiyo Tabitha Mutemi alisema kuwa suala hilo litasaidia katika kupunguza kuharibika kwa kura wala kukataliwa kwa kura hizo katika kipindi cha uchaguzi.
Wapigakura hao wataandikishwa pamoja na karatasi na vifaa vingine vya kupigia kura vitatumika ili kumwezesha kila mmoja kupata nafasi ya kuchagua kati ya nafasi sita.
Nafasi hizo ni pamoja na mwakilishi wa urais, ugavana, useneta, ubunge ,upande wa wanawake pamoja na mwakilishi kwa upande wa nchi.
Aliongeza kuwa karatasi zitakazotumiwa siku hiyo zitakuwa sawa na zile zitakazotumiwa siku ya uchaguzi ambao zaidi ya wapigakura 200 watapata nafasi ya kupiga kura kwa kila nafasi hizo.
Jumla ya marais nane wameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwania kiti hicho cha Urais nchini humo

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog