Skip to main content

Mandela alazwa tena hospitali! kwa habari zaidiiii pitia hapaaa

 
 
 
 
 
 
Mandela alazwa tena hospitali

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amelazwa hospitali baada ya kupatwa tena na maambukizi katika mapafu yake. Hii ni mara ya pili ndani ya mwezi huu kwa mwanaharakati huyo, shujaa wa kupinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, kulazwa hospitalini. 

Hapo Mwezi Disemba, Mandela alilazwa kwa wiki tatu hospitalini kwa maambukizi kama hayo na upasuaji wa kuondoka uvimbe tumboni. Mapema mwezi huu, Mandela alikaa hospitalini kwa usiku mmoja kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake. 

Ofisi ya Rais Jacob Zuma imesema madaktari wanaendelea kumhudumia, kuhakikisha kuwa anapata matibabu bora zaidi ya kitaalamu na faraja. Mandela amekumbwa na maradhi kadhaa yanayotishia afya yake katika miaka ya hivi karibuni. 

Mapema mwaka 2012 alilazwa kwa ajili ya uchunguzi mdogo wa maumivu ya tumbo, na mwaka 2011 alilazwa kwa siku mbili kutokana na tatizo katika mfumo wa upumuaji.


 Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amelazwa hospitali baada ya kupatwa tena na maambukizi katika mapafu yake. Hii ni mara ya pili ndani ya mwezi huu kwa mwanaharakati huyo, shujaa wa kupinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, kulazwa hospitalini.

Hapo Mwezi Disemba, Mandela alilazwa kwa wiki tatu hospitalini kwa maambukizi kama hayo na upasuaji wa kuondoka uvimbe tumboni. Mapema mwezi huu, Mandela alikaa hospitalini kwa usiku mmoja kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake.
...
Ofisi ya Rais Jacob Zuma imesema madaktari wanaendelea kumhudumia, kuhakikisha kuwa anapata matibabu bora zaidi ya kitaalamu na faraja. Mandela amekumbwa na maradhi kadhaa yanayotishia afya yake katika miaka ya hivi karibuni.

Mapema mwaka 2012 alilazwa kwa ajili ya uchunguzi mdogo wa maumivu ya tumbo, na mwaka 2011 alilazwa kwa siku mbili kutokana na tatizo katika mfumo wa upumuaji.


Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...