Skip to main content

Mandela alazwa tena hospitali! kwa habari zaidiiii pitia hapaaa

 
 
 
 
 
 
Mandela alazwa tena hospitali

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amelazwa hospitali baada ya kupatwa tena na maambukizi katika mapafu yake. Hii ni mara ya pili ndani ya mwezi huu kwa mwanaharakati huyo, shujaa wa kupinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, kulazwa hospitalini. 

Hapo Mwezi Disemba, Mandela alilazwa kwa wiki tatu hospitalini kwa maambukizi kama hayo na upasuaji wa kuondoka uvimbe tumboni. Mapema mwezi huu, Mandela alikaa hospitalini kwa usiku mmoja kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake. 

Ofisi ya Rais Jacob Zuma imesema madaktari wanaendelea kumhudumia, kuhakikisha kuwa anapata matibabu bora zaidi ya kitaalamu na faraja. Mandela amekumbwa na maradhi kadhaa yanayotishia afya yake katika miaka ya hivi karibuni. 

Mapema mwaka 2012 alilazwa kwa ajili ya uchunguzi mdogo wa maumivu ya tumbo, na mwaka 2011 alilazwa kwa siku mbili kutokana na tatizo katika mfumo wa upumuaji.


 Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amelazwa hospitali baada ya kupatwa tena na maambukizi katika mapafu yake. Hii ni mara ya pili ndani ya mwezi huu kwa mwanaharakati huyo, shujaa wa kupinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, kulazwa hospitalini.

Hapo Mwezi Disemba, Mandela alilazwa kwa wiki tatu hospitalini kwa maambukizi kama hayo na upasuaji wa kuondoka uvimbe tumboni. Mapema mwezi huu, Mandela alikaa hospitalini kwa usiku mmoja kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake.
...
Ofisi ya Rais Jacob Zuma imesema madaktari wanaendelea kumhudumia, kuhakikisha kuwa anapata matibabu bora zaidi ya kitaalamu na faraja. Mandela amekumbwa na maradhi kadhaa yanayotishia afya yake katika miaka ya hivi karibuni.

Mapema mwaka 2012 alilazwa kwa ajili ya uchunguzi mdogo wa maumivu ya tumbo, na mwaka 2011 alilazwa kwa siku mbili kutokana na tatizo katika mfumo wa upumuaji.


Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Tazama picha za utupu ya Mwimbaji wa nyimbo za injili

Hili nalo ni tukio la kushitua baada ya msanii wa nyimbo za injiri kuamua kuanika picha zake za utupu kunako mitandao ya kijamii tukio hili limetokea hivi karibuni Nchini Nigeria Baada ya mwimbaji wa nyimbo za injiri kuweka piha na video kwenye mtandao anajulikana kwa jina la Maheeda  I doubt if this Naija female singer called Maheeda could still be described as a gospel singer giving her acts in recent times, especially in the social media. Her latest show of shame is posting videos of herself in the n*de while taking her bath. Check out more of her craze below:

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu