Skip to main content

MSIMAMO WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA NA RATIBA YA MECHI ZA WIKIENDI HII - RUVU YATAMBA KUICHINJA AZAM! kwa habari zaidi pitia hapa

MSIMAMO WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA NA RATIBA YA MECHI ZA WIKIENDI HII - RUVU YATAMBA KUICHINJA AZAM



Maafande wa jeshi la kujenga taifa, Ruvu Shooting ya mkoani Pwani wametamba kuwamaliza Azam Fc, Lambalamba katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara unaotarajiwa kupigwa uwanja wa Mabatini Mlandizi mkoani Pwani jumamosi ya wiki hii.

Ruvu Shooting wenye pointi 29 ,nafasi ya saba ya msimamo watashuka katika dimba lao la nyumbani kusaka ushindi ili kumaliza msimu huu wa ligi wakiwa nafasi nne za juu.

Akizungumza na mtandao huu, Afisa habari wa Ruvu shooting, Masau Bwire, amesema kuwa maandalizi ya mchezo huo yanakwenda barabara huku kocha mkuu wa klabu hiyo Charles Boniface Mkwasa “Master” akirekebisha makosa yaliyojitokeza mechi iliyopita ambayo walifungwa 1-0 na vinara wa ligi hiyo, klabu ya Yanga.
Masau alisema Azam fc jana walishinda 3-0 dhidi ya wapiga kwata wenzao wa Tanzania Prisons hali ambayo imewapa nguvu kubwa ya kuwania ubingwa, lakini mchezo wao wa Jumamosi wasitarajie urahisi hata kidogo.
“Wapinzani wetu wamefanya vizuri kombe la shirikisho kwa kuwafunga Barrack Young Controller II mabo 2-1 ugenini, jana wamepata matokeo mazuri mbele ya Prisons na wanazidi kuamsha mizimu ya kuusaka ubingwa, sisi tunahitaji nafasi ya kushiriki hata Tusker cup mwaka huu, hatukubali kufungwa”. Masau alitamba.
Afisa habari huyo ameongeza kuwa mchezo uliopita dhidi ya Yanga ambao walipoteza, walistahili kushinda kutokana na kiwango cha vijana wao, lakini walikosa nafasi nzuri za kufunga na wapinzani wao walipata nafasi moja waliyoitumia kupata ushindi.
Masau alisema Mkwasa anaendelea kunoa makali ya washambuliaji wake wakiwemo Hassan Dilunga, Said Dilunga, Ernest Ernest, Ayubu kitala ili kuibuka wababe katika mchezo huo wa kukata na shoka.
“Watanzania wanawajua vizuri Ruvu shooting, moto tunaowasha si mchezo, tutawapiga Azam fc na baada ya hapo tutaanza hesabu za kuwavaa Polisi Morogoro wiki ijayo”. Masu aliongeza.
Akizungumzia malengo yao kwa sasa, msemaje huyo amesema wapo nafasi ya saba na ponti 27 huku wakiwa na michezo saba kibindoni, hali hii inawapa matumaini ya kufanya vizuri na kushika hata nafasi ya nne ili kucheza kwa mara ya kwanza michuano ya kimataifa yaani kombe la Tusker linaloshirikisha klabu za afrika mashariki.
Kwa upande wa Azam fc kupitia kwa afisa habari wao Jaffar Idd Maganga wamesema kuwa mchezo huo utakuwa mgumu sana kwao na wanauchukulia kwa umakini mkubwa sana ili kupata pointi tatu na kuendeleza harakati zao za kuwania ubingwa.
Pia alisema mchezo huo wataumia kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa marudiano wa kombe la shirikisho dhidi ya Waliberia, Barrack Fc machi 9 mwaka huu dimba la taifa jijini Dar es salaam.
“Sisi kila mchezo kwetu ni fainali, katu hatudharau timu yoyote ya ligi kuu, tuna safari ndefu na tunakabiliwa na michuano ya kimataifa, lakini tunafanya jitihada kubwa kujiandaa kwa ajili ya mashindano yote, na jumamosi tutashinda kama jana”. Idd alisema.
Azam fc wapo nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu wakiwa na pointi 40 huku Yanga wakiwa kileleni na pointi 48. Mabingwa watetezi simba wanabakia nafasi ya tatu na pointi 34 baada ya kupoteza 1-0 mchezo wa jana dhidi ya Kagera sugar.
Ligi kuu kwa sasa imejigawa katika makundi matatu, kundi la kwanza ni timu zinazowania ubingwa wa ligi kuu kwa maana ya Yanga, Simba na Azam fc, kundi la pili ni zle zinazowania nafasi mojawapo za juu, Mtibwa Sugar, Coastal union, kagera sugar, JKT Oljoro, Ruvu shooting na kundi la mwisho ni zile zinazowania kukwepa mkasi wa kushuka daraja, JKT Ruvu, Tanzania Prisons, Toto Africans, African Lyon.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog