Skip to main content

PICHA YA BINTI WA MIAKA 16 ALIYELAZIMISHWA KUNYWA MKOJO NA MAMA YAKE MDOGO HUKO IRINGA

PICHA YA BINTI WA MIAKA 16 ALIYELAZIMISHWA KUNYWA MKOJO NA MAMA YAKE MDOGO HUKO IRINGA







Vituko
mjini Iringa haviwezi kuisha kama jamii haitakubali kwa moyo mmoja
kupambana na ukatili wa kijinsia. Huyu ni Binti ZAWAD KARIM miaka 16
mkazi wa mshindo nyuma ya banki ya NBC manispaa ya Iringa amepigwa na
hatimaye kunyweshwa mkojo na mama yake mdogo aitwaye
Ever ubamba.
Tukio lilikuwa hivi:
Zawadi
kimsingi anaishi na mama yake mzazi ambaye kwa kipindi hicho dada mtu
huyo alikuwa anaumwa. Ever alikuwa nje na marafiki zake ndipo mama yake
mdogo huyo akamwiita ndani ya nyumba yao hiyo wanayoishi mtaa wa
mshindo.
Baada
ya kumwita na kisha mtoto huyo kushindwa kusikia baadaye aliitika na
kuingia ndani na ndipo alipo ambiwa avue nguo zote na huyo mama yake
mdogo Ever .Baada ya muda mfupi Zawadi alianza kupokea kipigo kikali
kutoka kwa mama yake mdogo.
Katika
kipigo hicho Zawadi alipigwa pamoja na kunyweshwa mkojo kutoka kwa
mama yake mdogo huyo.Zawadi ambaye ni mtoto wa kuzaliwa na Dada yake
Ever inadaiwa kipigo hicho kimesababishwa na tuhuma kwamba eti familia
hiyo haina mtoto kama yeye zawadi.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...