Skip to main content

BEEF YA BEN PO NA LADY JAY DEE YAMALIZWA NA NGOMA MPYA YA BEN PO.......JIKUBALI ITAYOTOKA TAREHE 30 MWEZI HUU

 

BEEF YA BEN PO NA LADY JAY DEE YAMALIZWA NA NGOMA MPYA YA BEN PO.......JIKUBALI ITAYOTOKA TAREHE 30 MWEZI HUU


 
 
 
 
 
Hatimaye Lile bifu la Lady Lady J Dee na Ben Po ambapo walitofautiana kauli hadi kuharibiana kwenye Mtandao wa kijamii wa twitter leo imeisha rasmi.


Leo msanii ben Po ameachia studio tears ya ngoma yake mpya ambayo inafuata inayokwenda kwa jina la Jikubali ngoma ambayo pia ameitaja kuwa inatoka tarehe 30 mwezi huu yaani mkesha wa Kuamkia may mosi basi katika ngoma hiyo na studio tears aliyoiachia inaskika akiimba nampenda
lady jay Dee wakati tayari wako kwenye beef kitu ambacho amefunguka na kusema kuwa yeye aliurecord wimbo huo kabla hawajaingia kwenye malumbano na JD ila ameona haina haja ya kuuedit wimbo huo kwani kiukweli anampenda Jd na kufunguka kuwa yeye hawezi kuwa na beef na JD kwani Jide ni msanii mkubwa sana na yeye pia anatamani kukubalika kama JD.

JD




BEN PO amefunguka na kusema kuwa walitofautiana tu kauli ila sio kwamba yeye alichukulia kama beef..

Kinachofanya niamini kuwa wimbo ndo umemaliza beef ni kutokana na hiki walichokiandika kwenye account zao za twitter na aliyeanza ni JD




JD ALITWEET:--- "Wooh!! @IamBenPol So nimeskia umeimba unampenda Lady Jaydee !! Kula 5 kwanza mengine yatafuata baadae " ...
Ben Pol nae akajibu, "Yeeaaah!! nakupa then inakuwa #Celebratiiiooons" ...

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...