Skip to main content

BEEF YA BEN PO NA LADY JAY DEE YAMALIZWA NA NGOMA MPYA YA BEN PO.......JIKUBALI ITAYOTOKA TAREHE 30 MWEZI HUU

 

BEEF YA BEN PO NA LADY JAY DEE YAMALIZWA NA NGOMA MPYA YA BEN PO.......JIKUBALI ITAYOTOKA TAREHE 30 MWEZI HUU


 
 
 
 
 
Hatimaye Lile bifu la Lady Lady J Dee na Ben Po ambapo walitofautiana kauli hadi kuharibiana kwenye Mtandao wa kijamii wa twitter leo imeisha rasmi.


Leo msanii ben Po ameachia studio tears ya ngoma yake mpya ambayo inafuata inayokwenda kwa jina la Jikubali ngoma ambayo pia ameitaja kuwa inatoka tarehe 30 mwezi huu yaani mkesha wa Kuamkia may mosi basi katika ngoma hiyo na studio tears aliyoiachia inaskika akiimba nampenda
lady jay Dee wakati tayari wako kwenye beef kitu ambacho amefunguka na kusema kuwa yeye aliurecord wimbo huo kabla hawajaingia kwenye malumbano na JD ila ameona haina haja ya kuuedit wimbo huo kwani kiukweli anampenda Jd na kufunguka kuwa yeye hawezi kuwa na beef na JD kwani Jide ni msanii mkubwa sana na yeye pia anatamani kukubalika kama JD.

JD




BEN PO amefunguka na kusema kuwa walitofautiana tu kauli ila sio kwamba yeye alichukulia kama beef..

Kinachofanya niamini kuwa wimbo ndo umemaliza beef ni kutokana na hiki walichokiandika kwenye account zao za twitter na aliyeanza ni JD




JD ALITWEET:--- "Wooh!! @IamBenPol So nimeskia umeimba unampenda Lady Jaydee !! Kula 5 kwanza mengine yatafuata baadae " ...
Ben Pol nae akajibu, "Yeeaaah!! nakupa then inakuwa #Celebratiiiooons" ...

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b