Skip to main content

Chadema ‘waitupia kombora’ Idara ya Usalama wa Taifa




 
 
 
 
 
 


Katika hotuba hiyo iliyohaririwa, Profesa Kahigi alisema baadhi ya maofisa wa idara hiyo wamekuwa wakitajwa kwenye vyombo vya habari kuhusika na uhalifu huo, lakini Serikali imekaa kimya.


Wasema inajihusisha kwenye vitendo vya utekaji na utesaji watu wanaoikosoa Serikali
Kambi Upinzani Bungeni imeitaka Serikali kuwachukulia hatua maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa – Ikulu ambao wanatuhumiwa kujihusisha na vitendo vya kihalifu vya utekaji na utesaji kwa watu wanaoonekana kuikosoa Serikali.
Madai hayo yalitolewa bungeni juzi na msemaji wa kambi hiyo, kuhusu Bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Profesa Kulikoyela Kahigi, katika hotuba ambayo awali ilizua mvutano wa mambo gani yasomwe na yapi yabaki.
Ilibidi hotuba hiyo iahirishwe kwa muda, hadi kamati ya kanuni ikutane na kutoa uamuzi kwamba baadhi ya mambo yanayotaja majina ya watumishi wa usalama wa taifa na mengine yaliyoko mahakamani yaondolewe.
Katika hotuba hiyo iliyohaririwa, Profesa Kahigi alisema baadhi ya maofisa wa idara hiyo wamekuwa wakitajwa kwenye vyombo vya habari kuhusika na uhalifu huo, lakini Serikali imekaa kimya.
Alisema iwapo watuhumiwa hao wangekamatwa na kuchukuliwa hatua, utekaji na utesaji wa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri wa New Habari Ltd. ungeweza kuepukika.
Mbunge huyo alisema mazingira ya kuteswa kwa Kibanda ya kung’olewa kucha, meno na kutobolewa jicho yanafanana na yale yaliyohusishwa na usalama wa taifa.
Mbunge huyo alinukuu Sheria ya Ujasusi na Usalama ya Tanzania (Tanzania Intelligence and Security Services Act) ya 1996, sehemu inayozuia idara hiyo kufanya upelelezi wa ufuatiliaji - “ushushushu” kwa watu wanaoipinga Serikali kwa misingi ya kisheria na kikatiba.
Sehemu hiyo Ibara ya 5(2), kipengele ‘a’ na ‘b’ ambayo Profesa Kahigi alisema imekuwa inavunjwa na Idara hiyo, inasema, “Haitakuwa kazi ya Idara kutekeleza hatua za usalama au kufanya upelelezi wa ufuatiliaji wa mtu yeyote au kundi lolote la watu kwa sababu tu ya kuhusika na kupinga jambo halali kuhusiana na jambo lolote la kikatiba, sheria au Serikali ya Tanzania”.
Hata hivyo Serikali imekanusha.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b