Skip to main content

Hii ndio hali halisi ya elimu nchini



Madai kuwa kiwango cha elimu nchini kimeporomoka yametawala katika ndimi za wadau wengi wa elimu. Matokeo mabaya ya mitihani hasa ile ya Taifa imekuwa ikitumika kama hoja mojawapo ya kushadadia hali hiyo.
Upi ukweli kuhusu kiwango cha elimu yetu? Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa anaelezea hali halisi ya elimu nchini kama alivyohojiwa na mwandishi wetu.
Swali: Serikali imejipanga vipi kuhakikisha kuwa elimu inayotolewa kwa Watanzania ni bora?
Jibu: Ili kuhakikisha kuwa elimu inayotolewa kwa Watanzania ni bora, Serikali imepanga kufanya yafuatayo katika mwaka wa fedha 2013/14: Kwanza, kuinua ubora wa elimu katika ngazi zote za elimu kwa kuongeza idadi ya walimu na wakufunzi na hasa walimu wa masomo ya Sayansi, Hisabati, Teknolojia na Lugha katika ngazi ya elimu ya msingi na sekondari; kutoa mafunzo ya kuongeza ufanisi katika ufundishaji na kujifunza kwa walimu ikiwa pamoja na kuimarisha stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu; kuendesha na kuongeza idadi ya maktaba katika kanda, shule na vyuo kwa lengo la kujenga utamaduni wa kujisomea.
Mengine ni kuongeza wingi wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia, vikivitabu kwa kushirikiana na wadau wengine hasa Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI; kuimarisha ukaguzi wa shule na vyuo, usimamizi na uendeshaji wa elimu na mafunzo pamoja na shughuli za ufuatiliaji na tathmini kwa azma ya kuifanya Idara ya Ukaguzi wa Shule kuwa mamlaka inayojitegemea.
Kuhusu elimu ya juu, Serikali itajenga uwezo wa taasisi za elimu katika kutoa elimu ya juu iliyo bora na inayolingana na mahitaji ya soko. Hilo litatokana na kujenga uwezo wa watendaji wa taasisi za elimu ya juu katika maeneo ya uongozi ili kuimarisha utawala bora; kuendelea kutoa ufadhili wa shahada ya uzamili na uzamivu kwa wahadhiri na wahadhiri wasaidizi na kuendelea kuboresha maslahi ya wahadhiri.
Swali: Pamoja na mikakati hiyo, kuna madai kuwa kiwango cha elimu nchini kimeporomoka, je, ni kweli na nini kimechangia hali hiyo?
Jibu: Kwanza kabisa ingefaa kujiuliza kiwango cha elimu ni nini na kinapimwa vipi au kinapimwa kwa viashiria gani? Pili ingefaa kujiuliza ni lini tunaweza kusema kuwa tulifikia kiwango sawia cha elimu yetu na hivyo kwa sasa tukilinganisha na wakati huo tunaweza kusema kuwa kiwango chetu cha elimu kimeshuka. Na kama kimeshuka kimefika wapi?
Baadhi ya wadau wana dhana kuwa kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa mitihani ya taifa ni kiashiria pekee na tosha cha kushuka kwa kiwango cha elimu. Pia wengine hudhani kuwa kuzungumza kwa ufasaha lugha ya Kiingereza ni kiashiria cha kiwango cha juu cha elimu. Hivi sio viashiria pekee vya kiwango cha ubora wa elimu nchini.
Swali: Ni vipi hivyo viashiria vingine?
Jibu: Kiwango cha elimu maana yake ni uwezo wa mtu kutenda na kumudu ushindani katika stadi mbalimbali, kutokana na elimu aliyopata katika mfumo wa elimu husika. Kupanda na kushuka kwa kiwango cha elimu kunaweza kupimwa kwa kulinganisha uwezo wa mtu wa kutenda na kumudu ushindani katika stadi mbalimbali kutokana na elimu aliyoipata kwa kuangalia muda na mahali alipopata elimu hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b