Skip to main content

RUFAA YA KESI YA ZOMBE YAKWAMA


Mahakama ya Rufani Tanzania imekwama kusikiliza rufaa ya Mkuu wa Upelelezi wa zamani wa Mkoa wa Dar es Salaam (RCO), Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP) Abdallah Zombe na wenzake wanane baada ya kubaini kuwapo kwa kasoro kwenye taarifa ya rufaa hiyo.

Haikuelezwa ni lini shauri hilo litasikilizwa.

Zombe na watuhumiwa wengine walihudhuria mahakamani hapo.

Kutokana na hali hiyo Jamhuri imeomba iruhusiwe kufanya marekebisho, lakini upande wa utetezi umepinga na kuiomba mahakama hiyo itupilie mbali rufaa hiyo.

Baada ya upande wa utetezi kutoa msimamo huo sasa mahakama hiyo itatoa uamuzi siku nyingine.

Rufaa hiyo iliyokatwa na Serikali kupinga hukumu iliyomwachia huru aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam, ACP Abdallah Zombe na wenzake, inatarajiwa kusikilizwa mfululizo.

Katika rufaa ya Zombe, Serikali kupitia Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), ilikata rufani kupinga hukumu ya kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini wa mkoani Morogoro na dereva teksi iliyokuwa ikimkabili Zombe na wenzake.

Hukumu hiyo, ilitolewa Agosti 17, mwaka 2008 na Jaji Salum Massati wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, ambaye aliwaachia huru washitakiwa wote na kuuamuru upande wa Jamhuri kuwatafuta wahusika wa mauaji hayo.

Kwa mujibu wa ratiba za vikao ya Mahakama ya Rufani, rufaa hiyo imepangwa kusikilizwa mbele ya jopo la majaji watatu, Edward Rutakangwa, Jaji Mbarouk Mbarouk na Jaji Bernard Luanda.

Mbali na Zombe, wajibu rufani wengine ni askari polisi Christopher Bageni, Ahmed Makele, Jane Andrew, Koplo Emmanuel Mabula, Michael Shonza, Abeneth Saro, Rajabu Bakari na Festus Gwasab.

Zombe na wenzake, walikuwa wakidaiwa kuwa Januari 14, mwaka 2006, waliwaua wafanyabiashara watatu wa madini wa wilayani Ulanga, mkoani Morogoro; Ephraim Chigumbi, Sabinus Chigumbi na Mathias Lukombe pamoja na dereva teksi Juma Ndugu, mkazi wa Dar es Salaam.

Katika hukumu hiyo, Jaji Massati alisema upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha mashtaka dhidi ya washtakiwa, bila kuacha shaka yoyote na hivyo mahakama hiyo inawaona washitakiwa hawana hatia na inawaachia huru.

Alisema mahakama hiyo, imebaini wauaji halisi hawajafikishwa mahakamani hivyo kutokana na kutokuwepo kwao, mashitaka dhidi ya washitakiwa hayawezi kutengenezeka, aliuagiza upande wa Jamhuri uwasake na kuwafikisha mahakamani wahusika.

Baada ya kutolewa kwa hukumu hiyo, DPP aliamua kwenda Mahakama ya Rufani, kukata rufani iliyosajiliwa na kupewa namba 254/2009, kupinga hukumu hiyo kwa madai ya kwamba hajaridhika nayo.

Katika rufani hiyo, DPP aliwasilisha hoja 11 za kisheria kupinga hukumu hiyo, akidai kwamba kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa mahakamani, washitakiwa wote walikuwa na hatia.

Miongoni mwa sababu nyingine, DPP anadai kulikuwa na upungufu katika hukumu hiyo kwa kila mshtakiwa.

DPP, anadai Jaji Massati alipotoka na kushindwa kutafsiri sheria pamoja na kanuni mbalimbali zinazohusu mashtaka ya jinai na kwamba alijichanganya sana katika hukumu hiyo.

Alidai kushangazwa na Jaji Massati kushindwa kuwatia hatiani washitakiwa wote, licha ya kwamba kulikuwa na ushahidi wa dhahiri na kimazingira wa kutosha kuwatia hatiani.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b