Skip to main content

RAISI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZJI ARUSHA ACHAGULIWA ANGALIA HAPA PICHA RASMI ZA TUKIO ZIMA LA UCHAGUZI HUO.pia viongozi watakaongoza serekali hiyo wapo hapa


BAADHI YA WANACHUO WA AJTC WAKISHANGALIA WAKATI WA KUTANGAZWA MATOKEO

BOX LILILOBEBA KURA ZA WANACHUO 

JOPO LA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI LIKIWA LINAELEKEA KATIKA UKUMBI WA CHUO KUTANGAZA MATOKEO 


HAWA HAPA NDIO MCs WA THE CLASSIC AMABAO WALIHUSIKA KATIKA KUHOST SHOW YOTE


 Rais georg Sirange Akitoa shukrani kwa wapiga kura wake mara baada ya kutangazwa mshindi.

WAGOMBEA WA NAFASI YA URAISI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA




BAADHI YA WAKUFUNZI WAKIWA KATIKA PICHA YAPAMOJA NA WAGOMBEA WA NAFASI YA URAISI.

EXLUSSIVE HUYU HAPA NDIE GEORGE SIRANGE RAIS WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA.


Mkufunzi ambae ni mlezi wa Wanachuo akitoa shukrani kwa wanachuo waliojitokeza kupiga kura za kumchagua Raisi.
HII LEO MAPEMA ASUBUHI MAMIA YA WANACHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA WAMEJITOKEZA KUPIGA KURA ZA  KUMCHAGUA RAISI WA CHUO HICHO AMBAE ATAINGOZA SEREKALI YA WANACHUO KWA MWAKA 2013/2014,AMBAPO GEORGE SIRANGE ALIIBUKA MSHINDI NA KUTANGAZWA MSHINDI AMBAE YEYE NA SEREKALI YAKE WATAAPISHWA WIKI IJAYO.EXCLUSSIVE INTERVIEW NA VIONGOZI HAO NITAKULETEA JUMATATU endelea kufuatilia INFO IS HOT PICHA ZOTE NA JAMES ULOMY
HAWA  HAPA NDIO NDIO BAADHI YA VIONGOZI WA SEREKALI YA WANAFUNZI WA AJTC KUTOKA KUSHOTI NI IZACK BONIFACE(KATIBU)WA PILI GEORGE SIRANGE (RAIS)WATATU JULIANA NGELEJA (MAKAMU WA RAISI)na WANNE NI Bw GODWILL (AFISA MAHUSIANO)

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu