Skip to main content

RAISI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZJI ARUSHA ACHAGULIWA ANGALIA HAPA PICHA RASMI ZA TUKIO ZIMA LA UCHAGUZI HUO.pia viongozi watakaongoza serekali hiyo wapo hapa


BAADHI YA WANACHUO WA AJTC WAKISHANGALIA WAKATI WA KUTANGAZWA MATOKEO

BOX LILILOBEBA KURA ZA WANACHUO 

JOPO LA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI LIKIWA LINAELEKEA KATIKA UKUMBI WA CHUO KUTANGAZA MATOKEO 


HAWA HAPA NDIO MCs WA THE CLASSIC AMABAO WALIHUSIKA KATIKA KUHOST SHOW YOTE


 Rais georg Sirange Akitoa shukrani kwa wapiga kura wake mara baada ya kutangazwa mshindi.

WAGOMBEA WA NAFASI YA URAISI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA




BAADHI YA WAKUFUNZI WAKIWA KATIKA PICHA YAPAMOJA NA WAGOMBEA WA NAFASI YA URAISI.

EXLUSSIVE HUYU HAPA NDIE GEORGE SIRANGE RAIS WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA.


Mkufunzi ambae ni mlezi wa Wanachuo akitoa shukrani kwa wanachuo waliojitokeza kupiga kura za kumchagua Raisi.
HII LEO MAPEMA ASUBUHI MAMIA YA WANACHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA WAMEJITOKEZA KUPIGA KURA ZA  KUMCHAGUA RAISI WA CHUO HICHO AMBAE ATAINGOZA SEREKALI YA WANACHUO KWA MWAKA 2013/2014,AMBAPO GEORGE SIRANGE ALIIBUKA MSHINDI NA KUTANGAZWA MSHINDI AMBAE YEYE NA SEREKALI YAKE WATAAPISHWA WIKI IJAYO.EXCLUSSIVE INTERVIEW NA VIONGOZI HAO NITAKULETEA JUMATATU endelea kufuatilia INFO IS HOT PICHA ZOTE NA JAMES ULOMY
HAWA  HAPA NDIO NDIO BAADHI YA VIONGOZI WA SEREKALI YA WANAFUNZI WA AJTC KUTOKA KUSHOTI NI IZACK BONIFACE(KATIBU)WA PILI GEORGE SIRANGE (RAIS)WATATU JULIANA NGELEJA (MAKAMU WA RAISI)na WANNE NI Bw GODWILL (AFISA MAHUSIANO)

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...