Skip to main content

HAYA HAPA NDIO MAMBO 5 YA KUSHANGAZA KATIKA MSIBA WA MANGWEA...

HUKU Albert Kenneth Mangwea ‘Ngwea’ akiwa kaburini siku ya pili leo kufuatia kufariki dunia ghafla usingizini nchini Afrika Kusini, Mei 28, mwaka huu, mambo matano ya kushangaza yamezuka katika kipindi chote cha msiba, Risasi Jumamosi linakupa kila kitu.
Kwa mujibu wa utafiti wetu wa kina, waombolezaji mbalimbali wamekuwa wakiyazungumzia mambo hayo huku wengine wakihoji kuwepo kwake.
1. RIPOTI YAFICHWA KIBINDONI
Usiku wa kuamkia mazishi yaliyofanyika kwenye Makaburi ya Kihonda, Morogoro, paparazi wetu alipata bahati ya kuzungumza na mama wa marehemu Ngwea, Denisia Mangweha.
Katika mazungumzo hayo, mwanahabari wetu alimuuliza mama huyo kama alikuwa amekabidhiwa ripoti ya daktari inayotatua fumbo la nini kilimuua Ngwea.
Haya hapa majibu ya mama huyo:
“Sijapata wala sijui chochote kuhusu hiyo ripoti, wala sijui nani anayo.”
Jumanne iliyopita, ilidaiwa kuwa Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo aliyekuwa ‘Sauzi’ ndiye aliyekabidhiwa ripoti hiyo ambapo na yeye aliikabidhi kwa ndugu wa marehemu.
Kwa kawaida, ripoti inayoweka wazi kiini cha kifo cha marehemu husomwa siku ya mazishi, jambo ambalo halikufanyika siku ya kumzika Ngwea.
MANENO YA WATU MAKABURINI
Baadhi ya waombolezaji waliokuwa makaburini hapo, walitoa hisia zao wakidai kwamba, inawezekana ripoti hiyo haikuwa nzuri hivyo ili kulinda heshima ya marehemu ililazimika kuiacha kibindoni.
2. MAMA WA MAREHEMU AMTAMBUA DEMU MZUNGU
Jumatano, siku moja kabla ya mazishi, mama wa marehemu alimshika mkono aliyekuwa mchumba wa marehemu, yule mwanamke Mzungu akisema Albert (Ngwea) alikuwa akienda naye nyumbani hapo (Morogoro).
Alisema mara kadhaa walitoka yeye, marehemu na Mzungu huyo kwenda kula ‘bata’ mahali kabla ya kurejea Dar. Kwa hiyo Mzungu ni mwanamke aliyekuwa akitambulika na mama wa marehemu.
Cha kushangaza, dada wa marehemu aitwaye Neema Mangweha, alisema mchumba wa marehemu anayemjua yeye anaitwa Siwema ambaye kwa sasa ana ujauzito wa mwanamuziki maarufu wa muziki wa kizazi kipya Bongo.
3. MTOTO WA MAREHEMU AIBUKIA MAKABURINI
Alhamisi, wakati msafara wenye mwili wa marehemu ukiwa makaburini, mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Paulina Jeremiah akiwa na mtoto wa kike alijitokeza hadharani na kukutana uso kwa uso na paparazi wetu akidai mtoto huyo ni wa marehemu Ngwea.
Mwanamke huyo, mkazi wa Kigamboni, Dodoma alisema mtoto huyo anaitwa Neema Albert, alimzaa mwaka 2001 wakati huo Ngwea alikuwa akisoma Sekondari ya Mazengo.
Wakati anajieleza hayo, ndugu wawili wa marehemu walitokea, mmoja akiitwa Anthony Kenneth Mangweha na kumsikiliza mama Neema.
Anthony alimuuliza mama Neema kama kuna ndugu yeyote wa marehemu anayetambua uwepo wa mtoto huyo, mama Neema akawataja.
Aliwataja vijana watatu kwa jina mojamoja, Frank, Jotam na Amani ambapo alisema waliwahi kutumwa na marehemu kwenda Dodoma kumwangalia mtoto huyo.
Anthony alikiri kuwa vijana hao watatu ni ndugu wa familia hiyo na akamtaka mama Neema kupoa, baada ya mazishi na kurudi nyumbani watakaa kuzungumzia suala hilo.
4. M 2 THE P AIBUKIA KWENYE KUAGA MWILI
Katika hali iliyowashangaza wengi, msanii wa Bongo Fleva aliyepata matatizo na marehemu lakini yeye akapona, Mgaza Pembe ‘M 2 THE P’ aliibuka kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro ambako mwili wa marehemu ulikuwa ukiagwa.
Baadhi ya watu waliomtambua msanii huyo walionekana kumshangaa sana huku wakihoji ametua lini kutoka Sauzi.
M 2 The P alishindwa kuhimili wakati anapita kwenye mwili wa marehemu, alimwaga machozi, hali iliyosababisha waombolezaji wawili kumshika kulia na kushoto na kumtoa eneo hilo.

MAVAZI YAKE SASA!
Kikubwa kilichoibua maswali kutoka kwa waombolezaji ni jinsi msanii huyo alivyovaa. Wengine waliamini vaa yake ilisababishwa na kutaka kujificha watu wasimtambue. Pia wapo waliodai inawezekana alitoroka huko Sauzi.
Alivaa suruali ya ‘jinzi’, fulana ya mikono mifupi, miwani na kofia kubwa licha ya
hali ya hewa Morogoro kuwa si ya baridi sana kiasi cha kuvaa hivyo.

5. KUMBE MAREHEMU ALITUMIWA FEDHA SAUZI
Tofauti na mashabiki wake walivyoamini kuwa marehemu alikuwa akipiga fedha ndefu Sauzi na kuzituma Bongo kwa wanafamilia, mmoja wa ndugu zake alibumburua siri kuwa kuna wakati hali ilikuwa mbaya hadi ikabidi amtumie shilingi laki moja na nusu.
“Watu wanadhani labda Albert (Ngwea) alikuwa mambo safi muda wote Afrika Kusini kama vijana wengi wanavyoamini. Si kweli kuna wakati kabisa alikuwa akinipigia na kuniambia hali ilivyokuwa mbaya,” alisema ndugu huyo kwa sharti la kutotajwa gazetini.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog