Skip to main content

NDOA YA PREZZO ILIVUNJIKA KUTOKANA NA UMALAYA WAKE NA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA...... KAZI KWAKO DIVA


Siku za hivi karibuni rapper mwenye asili ya Kenya na Tanzania Prezzo alitweet kuwa anaenda mahakamani huko Kenya lakini hakuweka wazi alikuwa anakabiliwa na kesi gani.
Yawezekana ukawa unashangaa kusikia story kila kukicha juu ya king wa bling ana date na warembo wengi kwa wakati mmoja, mara Goldie (marehemu), mara Huddah, mara Diva, na jana tumesikia ameonekana akikiss na mrembo Victoria Kimani. Well! Prezzo alikuwa na mke lakini ndoa yao imetenguliwa rasmi na mahakama kuu ya Nairobi.
Kwa mujibu wa mtandao wa standard media wa Kenya, aliyekuwa mke wa CMB Prezzo Daisy Jematia Kiplagat alifungua kesi ya kudai talaka mwezi May (2012) kutokana na sababu kadhaa ambazo amezitaja.
Daisy ameiambia mahakama kuu ya Nairobi kuwa aliyekuwa mume wake Prezzo alikuwa akifanya uzinzi na wanawake mbalimbali, amekuwa akimpa maneno ya matusi yaliyomsababishia stress, pia amekuwa akimdhalilisha na kushindwa kutimiza majukumu yake ya kuihudumia familia.
Ameendelea kusema Prezzo alikuwa akileta marafiki zake nyumbani na kufanya mambo yao ikiwa ni pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya mbele ya mke wake na mtoto.
Taarifa iliyotolewa na hakimu wa mahakama kuu ya Nairobi imeendelea kusema kuwa Daisy alilalamika pia kuwa CMB Prezzo aliamua kuwa anaondoka kwenda kula bata, kunywa pombe na kutumia madawa ya kulevya na marafiki zake na kumuacha yeye akilea mtoto wao aitwaye Zahrie peke yake bila kutoa huduma yoyote.
Wakati Daisy anafungua kesi ya kudai talaka, alisema Prezzo alihamia kwa mama yake baada ya mapambano ya matusi baina yao, na wiki moja baadaye Daisy aliona habari gazetini kuwa muwewe kipenzi ana mahusiano na mrembo mwingine aitwaye Joy Wanjohi.
Hakimu wa mahakama kuu ya Nairobi aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo Luka Kimaru alisema kutokana na sababu zilizotolewa na Daisy ambazo si nzuri kwa afya ya mafanikio ya ndoa, mahakama hiyo haina chaguo zaidi ya kuitengua ndoa hiyo, hivyo sasa king wa bling ni official single.
Prezzo na Daisy walihalalisha ndoa yao mwezi December (2008) ambayo iliwaletea mtoto wa kike aliyezaliwa March (2009) na waliacha kuishi pamoja toka mwaka (2011) kabla ya ndoa yao kutenguliwa na mahakama kuu ya Nairobi.

Comments

  1. mtu anabadilika so kama diva anatambua hilo ataendelea nae wala asikate kuna watu wameoa nakuolewa na majangili itakuwa huyooo

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog