Skip to main content

NDOA YA PREZZO ILIVUNJIKA KUTOKANA NA UMALAYA WAKE NA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA...... KAZI KWAKO DIVA


Siku za hivi karibuni rapper mwenye asili ya Kenya na Tanzania Prezzo alitweet kuwa anaenda mahakamani huko Kenya lakini hakuweka wazi alikuwa anakabiliwa na kesi gani.
Yawezekana ukawa unashangaa kusikia story kila kukicha juu ya king wa bling ana date na warembo wengi kwa wakati mmoja, mara Goldie (marehemu), mara Huddah, mara Diva, na jana tumesikia ameonekana akikiss na mrembo Victoria Kimani. Well! Prezzo alikuwa na mke lakini ndoa yao imetenguliwa rasmi na mahakama kuu ya Nairobi.
Kwa mujibu wa mtandao wa standard media wa Kenya, aliyekuwa mke wa CMB Prezzo Daisy Jematia Kiplagat alifungua kesi ya kudai talaka mwezi May (2012) kutokana na sababu kadhaa ambazo amezitaja.
Daisy ameiambia mahakama kuu ya Nairobi kuwa aliyekuwa mume wake Prezzo alikuwa akifanya uzinzi na wanawake mbalimbali, amekuwa akimpa maneno ya matusi yaliyomsababishia stress, pia amekuwa akimdhalilisha na kushindwa kutimiza majukumu yake ya kuihudumia familia.
Ameendelea kusema Prezzo alikuwa akileta marafiki zake nyumbani na kufanya mambo yao ikiwa ni pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya mbele ya mke wake na mtoto.
Taarifa iliyotolewa na hakimu wa mahakama kuu ya Nairobi imeendelea kusema kuwa Daisy alilalamika pia kuwa CMB Prezzo aliamua kuwa anaondoka kwenda kula bata, kunywa pombe na kutumia madawa ya kulevya na marafiki zake na kumuacha yeye akilea mtoto wao aitwaye Zahrie peke yake bila kutoa huduma yoyote.
Wakati Daisy anafungua kesi ya kudai talaka, alisema Prezzo alihamia kwa mama yake baada ya mapambano ya matusi baina yao, na wiki moja baadaye Daisy aliona habari gazetini kuwa muwewe kipenzi ana mahusiano na mrembo mwingine aitwaye Joy Wanjohi.
Hakimu wa mahakama kuu ya Nairobi aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo Luka Kimaru alisema kutokana na sababu zilizotolewa na Daisy ambazo si nzuri kwa afya ya mafanikio ya ndoa, mahakama hiyo haina chaguo zaidi ya kuitengua ndoa hiyo, hivyo sasa king wa bling ni official single.
Prezzo na Daisy walihalalisha ndoa yao mwezi December (2008) ambayo iliwaletea mtoto wa kike aliyezaliwa March (2009) na waliacha kuishi pamoja toka mwaka (2011) kabla ya ndoa yao kutenguliwa na mahakama kuu ya Nairobi.

Comments

  1. mtu anabadilika so kama diva anatambua hilo ataendelea nae wala asikate kuna watu wameoa nakuolewa na majangili itakuwa huyooo

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...