Skip to main content

Majambazi wavamia kituo kikuu cha Polisi Mwanza




 
Wizi huo wa ajabu ulitokea Julai 18, mwaka huu, ambapo majambazi hao walivunja kituo hicho ambacho ndani yake kuna Ofisi ya Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mwanza (RPC).

Mwanza. Majambazi wamevunja ofisi za Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Mwanza na kuiba mali mbalimbali vikiwemo vielelezo vya watuhumiwa walio na kesi mahakamani.


Wizi huo wa ajabu ulitokea Julai 18, mwaka huu, ambapo majambazi hao walivunja kituo hicho ambacho ndani yake kuna ..........
Ofisi ya Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mwanza (RPC).
Taarifa zilizolifikia gazeti hili zilibaini kuwa majambazi hao walivunja ghala la vielelezo vya washtakiwa, chumba cha ghala la vipuri vya magari ya polisi, zikiwemo ofisi za Wapelelezi wa Makosa ya Jinai na Waendesha Mashtaka.
Majambazi hao wanadaiwa kuiba majalada ya kesi, begi lililokuwa na vielelezo vya washtakiwa, kompyuta ndogo mbili (Laptop) za ushahidi na kutoweka.
Wizi huo uliotokea usiku na kubainika asubuhi, ambapo watu hao ambao idadi yao haijajulikana wanadaiwa waliweza kufanikiwa kuingia ndani ya ofisi hizo za polisi, kwa kuvunja madirisha mawili ya chumba cha ghala la ofisi za Mkaguzi wa Elimu Kanda ya Ziwa ambazo zinapakana na Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati cha Jijini Mwanza, kisha kufanikisha wizi huo.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya Jeshi la Polisi zinaeleza kwamba wizo huo ambao ulilenga ofisi ya vielelezo na mashtaka, ulipangwa kwa umakini na kutekelezwa bila ya polisi waliokuwa zamu usiku huo kubaini lolote.
Kwa mujibu wa maelezo wezi hao inadhaniwa ni watu wenye uzoefu na jengo hilo, wakiwa na nia ya kuchukua vielelezo mbalimbali pamoja na mafaili muhimu ya kesi kubwa.
Hili ni tukio lingine kubwa kutokea kwa Jeshi la polisi Mkoa wa Mwanza sambamba na tukio la kuuawa kwa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, Oktoba 13, mwaka jana ambaye alipigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi saa nane usiku wakati akitoka katika kikao cha harusi.
Kauli ya Kamanda Mangu:
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Evarist Mangu, amethibitisha kutokea kwa wizi huo na kusema jeshi lake linafanya uchunguzi wa kina kubaini waliohusika, na kusisitiza kuwa kama ni askari wake ama watu toka nje hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.
Alisema wezi hao waliingilia katika ofisi ya Ukaguzi Elimu Kanda ya Ziwa ambako walivunja madirisha mawili, moja likiwa ni kuingia ndani ya ghala la ofisi za elimu na dirisha lingine la kutokea nje ya ghala hilo, kisha kuvunja dirisha la ndani ya majengo ya polisi na kufanikisha wizi huo.
“Wezi hao walipiga jeki nondo za madirisha hayo, hivyo kung’oka na kuingia ndani kisha kwetu, walianza kuingia katika ghala la polisi la kuhifadhia vifaa vya ofisi vya Jeshi la polisi, lakini inaonekana walikosa cha kuiba, huko walipanda darini na kutokea katika chumba kingine nako hawakuiba, lakini katika chumba cha vielelezo ambako walikuta begi lililokuwa na nguo za vielelezo pamoja na kompyuta ndogo mbili, Lap Top, ambazo walitoweka nazo,” alieleza Kamanda Mangu

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog