Skip to main content

MBUNGE NASSARI ASOTA POLISI KWA MADAI YA KUMPIGA KADA WA CCM



Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari jana alishikiliwa na jeshi la polisi mkoani Arusha kwa saa tatu na nusu kwa tuhuma za kumshambulia kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Warsama siku ya uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Makuyuni, wilayani Monduli.

Nassari aliyefika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha saa 2:30 asubuhi jana ili kuitikia wito wa ...........kutakiwa kuripoti kituoni hapo, alinusurika kuswekwa mahabusu baada ya kujidhamini mwenyewe majira ya saa saa 6:02 mchana na hivyo kuachiwa kwa dhamana.


Kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoani Arusha (RCO), Nassari anadaiwa kumshambulia Warsama Juni 16, mwaka huu, eneo Makuyuni alikokuwa wakala mkuu wa mgombea udiwani kupitia Chadema, Japhet Sironga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas hakupatikana jana kuzungumzia suala hilo, baada ya simu zake zote mbili za kiganjani kuita bila kupokewa wakati RCO, Duwan Nyanda alisema Nassari aliripoti kwake. 

Hata hivyo, alikataa kuzungumzia suala hilo kwa undani na kuelekeza atafutwe RPC ambaye ndiye msemaji wa polisi mkoani humo.
 

“Niko njiani nakwenda Dodoma, mtafute Afande RPC ndiye msemaji wa Polisi Mkoa,” alisema RCO Nyanda alipozungumza kwa njia ya simu jana.


Hata hivyo, habari za uhakika zilizopatikana kutoka duru za polisi zimeeleza kuwa jeshi la polisi, lilianza kumsaka Nassari tangu Jumanne iliyopita, kupitia kwa Mkuu wa upelelezi wilaya ya Arumeru.

Habari hizo zilizothibitishwa na Nassari mwenyewe, zimeeleza kuwa Jumatano ya Julai 24, mwaka huu, Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai wa Polisi, Kamishina Isaya Mngulu, alimpigia simu mbunge huyo kumtaka afike polisi ndipo walipokubaliana kuwa angekwenda jana.
 


“Nilipofika polisi na kuripoti kwa RCO, nikawekwa chini ya ulinzi na kutakiwa kutoa maelezo kuhusu madai ya kumshambulia mtu mmoja, anayejulikana kwa jina la Hussein Warsama siku ya uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Makuyuni,” alisema Nassari.

Mbunge huyo alisema baada ya kuwekwa chini ya ulinzi alikabidhiwa kwa ofisa  mwingine wa polisi kwa ajili ya mahojiano, lakini alikataa kuandikisha maelezo yoyote kwa sababu hakufuatana na wakili wake.

Alisema maelezo hayo yalionekana kuwakera polisi na RCO, kuagiza awekwe mahabusu hadi wakili wake, Tundu Lissu na Mabero Marando watakapofika, ambapo polisi kutoka wilayani Monduli walifika tayari kwa ajili ya kumchukua kumpeleka huko, kwa sababu tuhuma zinazomkabili zilifanyikia wilayani humo.

“Baada ya mimi kuwa tayari kuwekwa mahabusu na kuanza kukabidhi vifaa vyangu, RCO na maofisa wengine wa polisi, waliokuwepo walifanya majadiliano mafupi na baadaye kunikubalia kujidhamini mwenyewe, huku polisi wakiahidi kunipigia simu wakati wowote nitakapohitajika,” alisema Nassari.

Hata hivyo, wakati polisi wakimshikilia na kumhoji Nassari kwa tuhuma hizo, mbunge huyo pia alitoa tuhuma ya kushambuliwa hadi kulazwa hospitali ya Seliani, Arusha na watu aliodai kuwa makada wa CCM siku hiyo hiyo ya uchaguzi mdogo.
 

“Julai 14, mwaka huu nilivamiwa na watu wakiongozwa na Warsama huyu huyu anayedai nilimshambulia, nilitoa taarifa polisi lakini hadi sasa hakuna hatua iliyochukuliwa,” alisema Nassari.
 

Alisema ingawa hajajua aina ya makosa yanayomkabili, lakini ameshangazwa na hatua ya polisi kumweka chini ya ulinzi yeye aliyepigwa na kunusurika kuuawa na wafuasi wa CCM siku hiyo ya uchaguzi.
 

Kamanda wa operesheni na mafunzo wa jeshi la polisi, Kamishina Paul Chagonja aliwahi kuwaeleza waandishi wa habari Jijini Arusha, kuwa jeshi hilo lilikuwa linamsubiri Nassari amalize kutibiwa na kutoka hospitali, ili wamhoji kuhusu tuhuma za kumshambulia kada wa CCM.

Aliporejea Arusha akitokea Dar es Salaam baada ya kutoka hospitali, Nassari aliwaeleza waandishi wa habari kuwa yuko tayari kutiwa mbaroni na polisi kujibu tuhuma hizo.

Naye Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa alisema kuwa wameshangaa kuona Polisi wanageuza kibao kwa Nassari wakati yeye ndiye alipigwa na kuumizwa na aliyepigwa hawakuwahi kumsikia hadi leo.
"Suala ili tutakutana kesho kujadiliana ili tuone cha kufanya, huku tukishauriwa na wanasheria wetu," alisema Golugwa.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog