Skip to main content

TAMASHA LA MATUMAINI 2013: MASHABIKI MIKOANI WAMIMINIKA DAR!


WAKAZI wa mikoa ya jirani tayari wameanza kumiminika jijini Dar kwa ajili ya kushuhudia Tamasha la Matumaini litakalofanyika Julai 7, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa.
Gumzo zaidi linalozungumzwa na mashabiki hao ambao wengi wao wamesema wanatokea Mikoa ya Morogoro, Tanga, Iringa na Dodoma ni kuwaona wabunge wa Simba na wale wa Yanga watakaposhuka dimbani kucheza soka huku baadhi yao wakishiriki katika mapambano ya..........
ndondi dhidi ya waigizaji.
JB.
Kwenye eneo la ndondi, Mhe. Halima Mdee atapigana na Jacqueline Wolper, Mhe. Zitto Kabwe na Vincent Kigosi ‘Ray’, Mhe. Ester Bulaya atavaana na Aunt Ezekiel huku balaa zaidi likitarajia kuandikwa na mabondia Patrick Amote (Mkenya) atakayevaana na Thomas Mashali (Mtanzania) huku Mkenya Shadrack Muchanje akipigana na Francis Miyeyusho (Mtanzania).
“Nimetoka Tanga hadi Dar kwa ajili ya kushuhudia tukio hili kubwa la historia, navuta picha pale jukwaani nimuone Mhe. Zitto Kabwe akizichapa na Ray na pale wabunge wa Simba watakapojitupa uwanjani kucheza soka,” alisema Ally Juma, mkazi wa Tanga.
Mratibu wa tamasha hilo lenye lengo la kuchangia Mfuko wa Mamlaka ya Elimu nchini (TEA), Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’ amewahakikishia mashabiki waliotoka mikoa ya jirani pamoja na wenyeji, burudani itakwenda kama ilivyopangwa na ulinzi wa kutosha.
“Ni tamasha kubwa, mbali na mechi za wabunge na ndondi, kutakuwa na burudani ya Prezzo, Diamond, Wanaume Halisi, Bendi ya Mlimani Park, Jahazi, Wanaume Family na H. Baba, mechi za mpira wa miguu kati ya Bongo Fleva na Bongo Movie.
“Hayo yote yatafanyika chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi, mbwa, farasi, Ninja zaidi ya 60 na mabaunsa wasiopungua 50. Niwahakikishie mashabiki wataondoka uwanjani salama salmini,” alisema Abby Cool na kuongeza:
“Mwigizaji Jacob Steven ‘JB’ amesema anamhitahitaji Mhe. Idd Azzan kwenye ndondi hivyo kama mbunge huyo ataridhia, watavaana ulingoni ambapo JB ameapa kumtandika mheshimiwa huyo ndani ya sekunde 35.”
Viingilio vya tamasha hilo ambalo pia litahusisha mechi za wanafunzi wa Sekondari za Jitegemee na Makongo, vitakuwa ni shilingi 20,000 kwa V.I.P, 10,000 viti vya bluu na 5,000 viti vya kawaida.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog