Skip to main content





MADRID, HISPANIA
KUNA madai mengi ya msingi yamejitokeza kuhusu uhusiano baina ya staa wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo na kocha wa zamani wa timu hiyo, Jose Mourinho, ulivyokufa. Wote ni raia wa Ureno.
Hata hivyo, vielelezo vya msingi vinapatikana zaidi wakati huu ambapo wawili hao wameachana njia huku Mourinho akirudi Stamford Bridge na Ronaldo akibakia Real Madrid. Hivi ndivyo............
uhusiano wao ulivyokufa.
Ronaldo akwepa kumkumbatia
Ronaldo alifunga mabao yote matatu wakati Madrid ikiizamisha Levante 3-1 Februari 2012. Kabla ya mechi hiyo, Ronaldo alimwahidi kocha wa viungo, Rui Faria, kwamba kama akifunga mabao matatu basi atashangilia naye.
Kwa hiyo alipofunga bao maridadi la tatu kwa shuti la mbali, alianza kukimbia kasi kuelekea katika benchi la timu yake kwa ajili ya kushangilia na Faria.
Hata hivyo, Mourinho alishtukia jambo hilo na kumpita kasi Faria aliyekuwa amejiandaa kushangilia na Ronaldo na kisha kumkumbatia Mreno mwenzake huyo ambaye hata hivyo hakufurahishwa na kitendo hicho cha Mourinho cha kulazimisha kumkumbatia.
Kwa haraka haraka tukio hilo lilileta picha nzuri hata kwa vyombo vya habari, lakini ukweli ni kwamba uhusiano wao ulikuwa uko duni huku ikisemekana kwamba Ronaldo alikuwa ana tabia ya kuhoji tabia ya Mourinho kupendelea kucheza soka la kujihami.
Ronaldo ahoji mbinu za Mourinho
Ugomvi baina yao ulikuja kuwa kitu cha kawaida hata katika siku za mwanzo za Mourinho pale Santiago Bernabeu. Siku chache baada ya kushinda Kombe la Mfalme, shukrani kwa bao la kichwa la Ronaldo Uwanja wa Mestalla dhidi ya Barcelona, Madrid ilichapwa 2-0 katika pambano la nusu fainali uwanjani Santiago Bernabeu na wababe hao wa Catalunya.
Akiwa amekerwa na staili ya soka la kujihami la Mourinho, Ronaldo alisikika akiwapigia kelele wachezaji wenzake uwanjani kuwataka waachane na mbinu za Mourinho na kucheza soka la kushambulia.
Baadaye katika chumba cha kubadilishia nguo, Mourinho alimfokea Ronaldo vikali mbele ya wachezaji wenzake kabla ya Ronaldo kutoboa siri kwa waandishi wa habari kwamba alikuwa hapendi mbinu za Mourinho. Matokeo yake? Aliwekwa benchi katika pambano la Madrid lililofuata ambalo walichapwa 3-2 na Zaragoza.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b