Skip to main content

Ponda adaiwa kujeruhiwa kwa risasi




 


Morogoro. Hali ya wasiwasi imetanda mjini Morogoro baada ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, kudaiwa kupigwa risasi begani wakati polisi wakiwa katika harakati ya kumkamata.


Habari kutoka katika eneo hilo zinadai kuwa Ponda alipigwa risasi saa 12:25 jioni, wakati akisindikizwa na wafuasi wake kuelekea katika Msikiti wa Mungu Mmoja Dini Moja, baada ya kumaliza kutoa mhadhara katika kongamano lilifanyika mjini Morogoro jana.
Tukio hilo lilitokea katika Barabara ya Tumbaku, baada ya kumalizika kwa mkutano wa kongamano lililoandaliwa na Jumuiya ya Wahadhiri wa Kiislamu Mkoa wa Morogoro.
Mwenyekiti wa Kongamano hilo, Sheikh Idd Mussa Msema aliliambia Mwananchi Jumapili jana kuwa Ponda alipigwa risasi sehemu ya bega, na askari polisi na kwamba aliwahishwa kutibiwa katika Hospitali ya Kiislamu iliyopo eneo Msamvu mjini Morogoro.
Hata hivyo, wakati Sheikh huyo akisema hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile alikanusha madai ya kuwa polisi wamempiga risasi.
Alisema polisi walifika katika eneo hilo kwa ajili ya kumkamata Ponda, baada ya kumaliza mhadhara wake na kwamba wakati wakitaka kumkamata ndipo wafuasi wake wakawazuia polisi na kulazimika kupiga mabomu ya machozi na risasi hewani kuwatawanya.
Katika tukio hilo inadaiwa kuwa Sheikh Ponda aliyekuwa katika gari ndogo huku wafuasi wake wakimsindikiza kwa miguu, walipofika eneo la gereji mabomu ya machozi yalipigwa na polisi waliokuwa katika magari aina ya defender wakati wakijaribu kuwatawanya wafuasi hao.
Baada ya tukio hilo baadhi ya wafuasi wake walimchukua Sheikh Ponda kutoka katika gari lake na kumkimbizia katika gereji moja, kisha wakatoka wakiwa wamempakia katika pikipiki na kumpeleka katika Hospitali ya Rufaa ya Morogoro.
Mlinzi mmoja wa lango namba moja alisema kuwa ulifika msululu wa pikipiki zaidi ya 50, lakini pikipiki zote zilizuiliwa isipokuwa iliyokuwa imembeba Sheikh Ponda na kwenda naye mpaka mapokezi.
Aidha, alisema wakiwa katika eneo hilo magari kadhaa ya polisi yaliingia katika lango la hospitali hiyo. Hivyo wafuasi wa Sheikh Ponda wakalazimika kumbeba begani na kutoroka naye kupitia lango namba mbili.
Taarifa zilizopatikana baadaye zinadaiwa kuwa Sheikh Ponda alikimbizwa katika Hospitali ya Kiislamu ya Msamvu.
Baadhi ya watu walidai kumwona Sheikh Ponda akiingizwa katika Hospitali ya Rufaa Morogoro, lakini walishangaa alivyotoweka.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b