Skip to main content

AFISA UTUMISHI WA MANISPAA YA ILEMELA AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA RUSHWA YA NGONO

 
 Afisa  utumishi  wa  manispaa  ya  Ilemela  ndugu Songoma  leo  amefikishwa  mahakamani  akikabiliwa  na  kesi  ya  rushwa  ya  ngono  kwa  mwalimu  aliyekuwa  akiomba  kuhamishwa  toka  Ngudu  kuja  Mwanza.

Akisomewa  shitaka  lake   mbele  ya   hakimu  mfawidhi  wa  mahakama  ya  Mwanza, ofisa  wa  TAKUKURU  Bi. Debora amedai  kuwa   Songoma  alitenda   kosa  hilo  may  tano  mwaka  jana  ambapo  maofisa  wa  TAKUKURU  walifanikiwa  kumtia  mbaroni  wakati  akijiandaa kupokea  rushwa  ya  ngono ndani  ya  gesti  moja  jijini  mwanza  katika  mtego  ambao  uliandaliwa  na  mwalimu  huyo.


Hata  hivyo, Afisa  huyo  amekana  shitaka  hilo  na  kesi  yake  imeahirishwa  hadi  septemba  13  mwaka  huu

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...